
MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA MAMBO NI MOTO LEO
Ijumaa ndio hiyo imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet leo kwani mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Tukianza na Equatorial Guinea yeye atamenyana dhidi ya Sao Tome and Principle katika kundi H ambapo mgeni kwenye mechi 4 alizocheza amepiga zote huku mwenyeji wake…