Simba SC Yakaribisha Mbeya City Usiku wa Leo Isamuhyo, Kikosi Hiki Hapa
Macho ya mashabiki wa soka nchini leo yataelekezwa katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni, ambako Simba SC itashuka dimbani kuikabili Mbeya City FC katika mfululizo wa michezo ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara. Mchezo huo, unaotarajiwa kuanza saa 1:00 usiku, unakuja wakati Simba ikiwa na morali ya juu baada ya kuanza msimu kwa…