Simba SC vs Nsingizini Hotspurs ukurasa ndo kwanza uaanza
Simba SC vs Nsingizini Hotspurs ukurasa ndo kwanza uaanza licha ya mchezo wa ugenini uliochezwa Oktoba 19,2025 mnyama kupata ushindi wa mabao 3-0 mchezo ulichezwa Uwanja wa Somholo, Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema bado hawajatinga hatua ya makundi kutokana na ugumu wa kila mchezo CAF Champions League hivyo…