IBRAHIM AJIBU KUIBUKIA SINGIDA BIG STARS

KIUNGO wa zamani wa Yanga, Simba na Azam FC Ibrahim Ajibu anatajwa kumalizana na mabosi wa Singida Big Stars. Nyota huyo uora wake aliokuwa nao Yanga alipomaliza kwa kutoa pasi 17 za mabao bado anautafuta kwa kuwa hajagotea namba hata 10 ya pasi za mwisho. Kwa sasa mzee wa makorokocho anatajwa kutua ndani ya Singida…

Read More

CHEZA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET! CHEZA USHINDE NA DEUCES WILD POKER

Usisubiri kuhadithiwa! Jiunge na Meridianbet sasa ili uweze kupata bonasi na promosheni kibao katika michezo mingi. Kila wiki, Meridianbetinakuletea bonasi na promosheni kabambe kabisa. Wiki hii, Meridianbet inakuletea mchezo bomba na wa kipekee uitwao Deuces Wild Poker uliotengenezwa na Habanero. Ukiingia katika Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, utakuta mchezo wa Deuces Wild Poker ambao ni…

Read More

YANGA YAIBAMIZA COASTAL UNION,DUA KWA NKANE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union. Mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, dakika 90 Yanga ilikuwa kwenye umiliki wa mpira jambo lililoipa Coastal Union kutoboa ngome iliyokuwa chini ya nahodha Bakari Mwamnyeto. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia mabao mawili na bao…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KAGERA SUGAR KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema mchezo wao wa kesho dhidi ya Kagera Sugar maandalizi yake yapo sawa kinachosubiriwa ni dakika 90. Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Inakutana na Kagera Sugar ambayo imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao…

Read More

RASMI KOCHA COASTAL UNION ABWAGA MANYANGA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo. Taarifa rasmi iliyotolewa na Coastal Union leo Desemba 20,2022 imeeleza kuwa Desemba 19, 2022 walifikia makubaliano ya kusitisha mkataba huo kwa makubaliano ya pande zote mbili. Kwa sasa timu hiyo ambayo ina mchezo…

Read More

MZEE WA SPIDI 120 HATIHATI KUWAVAA COASTAL UNION

MZEE wa spidi 120 Tuisila Kisinda kuna hatihati ya kuanza kwenye mchezo wa kesho kutokana na kutokuwa fiti. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kesho Desemba 20,2022 ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Coastal Union. Kwa mujibu wa Cedrick Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa wachezaji wote wapo tayari kwa mchezo…

Read More

KOCHA COASTAL UNION MAMBO MAGUMU

SEPTEMBA 12,2022 Katibu Mkuu wa Coastal Union, Omar A.S Ayoub alimtambulisha kocha Yusuf Chipo kuwa kocha mkuu wa timu hiyo. Chipo alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuinoa timu hiyo ambapo alichukua mikoba ya Juma Mgunda anayeinoa Simba. Taarifa zinaeleza kuwa kocha huyo kwa sasa yupo kwenye mazungumzo na mabosi wa timu hiyo ili aweze…

Read More

CHAMA CHA WASIOONA TANZANIA WANEEMEKA NA MSAADA KUTOKA MERIDIANBET

Chama cha Wasioona Tanzania (TLB) kwa furaha kubwa wamepokea msaada wa fimbo za kutembelea “White canes” kutoka Meridianbet Tanzania ikiwa ni moja ya utamaduni wa kampuni hiyo kuyashika mkono makundi yenye mahitaji maalum pamoja na jamii kwa ujumla kwa kutoa misaada mbalimbali. Akitoa ushuhuda wake akiwa haamini kile kilichotokea, Katibu wa Chama hicho ndugu Iddi…

Read More

KIBU ACHEKA NA NYAVU, GEITA 0-5 SIMBA

MWAMBA Kibu Dennis leo Desemba 18,2022 amefungua akaunti yake ya mabao kwenye Ligi Kuu Bara. Wakati ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ukisoma Geita Gold 0-5 Simba nyota huyo katupia bao moja dakika ya 89. Bao hilo ametupia akitumia pasi ya kiungo namba moja wa pasi za mwisho ndani ya Simba Clatous Chama aliyetoa kwa…

Read More

GEITA GOLD 0-2 SIMBA

 MABAO mawili yamepachikwa ndani ya dakika 45 za mwanzo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Mwanza. Ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba unasoma Geita Gold 0-2 Simba. Ni John Bocco nahodha wa Simba amepachika bao la kuongoza dakika ya 11 kisha kamba ya pili ni mali ya Clatous Chama. Chama amepachika bao hilo dakika ya…

Read More