AZIZ KI KIUNGO WA YANGA ‘OUT’

AZIZ KI nyota wa Yanga atakosekana kwenye mechi tatu zinazofuata kwa timu yake hiyo msimu wa 2022/23. Sababu ya nyota huyo kukosekana kwenye mechi hizo ni maamuzi ya Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania ambayo yametolewa kutokana na kikao cha Novemba 4,2022. Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 8,2022…

Read More

CHAMA AKUTANA NA RUNGU LA TFF,MECHI TATU NJE

CLATOUS Chama nyota wa Simba atakosekana kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars unaotarajiwa kuchezwa kesho Novemba 9,2022 Uwanja wa Liti. Sababu ya nyota huyo kukosekana kwenye mchezo huo ni maamuzi ya Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania ambayo yametolewa kutokana na kikao cha Novemba 4,2022. Kamati imemfungia…

Read More

MAYELE ABAINISHA KWAMBA HAWAJAHI ILI WAFUNGWE

FISTON Mayele, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa hawajawahi kuelekea nchini Tunisia ili wafungwe bali watajitahidi kutafuta ushindi. Kikosi cha Yanga kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Club Africain kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa kesho Novemba 9,2022. Tayari kikosi hicho kipo nchini Tunisia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya…

Read More

WEKA KANDO KUSHINDWA KUSHINDA NYUMBANI,KIMATAIFA KAZI

 WEKA kando suala la kukosa matokeo kwenye mechi za kimataifa bado kwa wawakilishi wa kimataifa kwenye mechi za kimataifa kazi inaendelea kwa kuwa muhimu kupata matokeo. Tunaona mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ilikuwa ngumu kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Yanga kupata matokeo mazuri na sasa wana kazi nyingine ugenini. Utani…

Read More

SIMBA YAWAFUATA SINGIDA BIG STARS

KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amesema kuwa wanatambua mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars utakuwa na ushindani mkubwa. Kikosi cha Simba leo Novemba 7 kimesepa Dar ambapo kitapitia Dodoma kabla ya kuibukia Singinda. Mchezo huo wa ligi unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti ukiwa ni wa pili kwa Simba kucheza…

Read More

MAN UNITED YAPATA TABU MBELE YA VILLA

 ASTON Villa ikiwa Uwanja wa Villa Park imewashushia balaa zito Manchester United kwa kufunga mabao yote manne wakati wakishinda 3-1. Ni Leon Bailey alipachika bao la ufunguzi dakika ya 7 kisha Lucas Diagne alipachika bao la pili dakika ya 11. Pia mabao mawili yalifungwa kupitia kwa Jacob Ramsey wa Villa ambaye alijifunga dakika ya 45…

Read More

MKONGWE PIQUE AWAAGA BARCELONA

MKONGWE wa kazi ndani ya uwanja alikwama kuzuia machozi yasimtoke wakati akiwaaga mashabiki wake. Alizungumza mengi ikiwa ni pamoja na maneno haya:- “Nitawakumbuka na nina amini nitarudi kwa wakati mwingine lakini sitakuwa ni mchezaji wakati nitakaporudi,” ni Gerard Pique amebainisha hayo ndani ya Uwanja wa Nou Camp. Ilikuwa ni Novemba 5,2022 wajati ubao ukisoma Barcelona…

Read More

SIMBA QUEENS WATUSUA KIMATAIFA,KAZI INAENDELEA

 WAWAKILISHI wa Kanda ya Cecafa kwenye Mashindano ya Ligi ya Mabingwa Simba Queens, wametinga hatua ya nusu fainali baada ya kuvuna alama tatu mbele ya Green Buffaloes ya Zambia. Ilikuwa ni mechi ya mwisho ya kundi A na ushindi wa mabao 2-0 umewapa uhakika wa kuungana na AS FAR Rabat kwenye hatua ya nusu fainali…

Read More

MCHEZO WA COASTAL UNION V DODOMA JIJI KUPANGIWA TAREHE

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Coastal Union v Dodoma Jiji kwa sasa utapangiwa tarehe nyingine baada ya ile ya awali kushindikana. Novemba 5,2022 mchezo huo ulipaswa kuchezwa kwa wababe hao kusaka pointi tatu muhimu ndani ya dakika 90. Ni Uwanja wa Mkakwani Tanga mchezo huo ulipaswa kuchezwa ambapo timu zote zilikuwa zimefanya maadalizi…

Read More