YANGA YAITUNGUA REAL BAMAKO KIMATAIFA

BAADA ya Fiston Mayele kupachika bao la kuongoza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya makundi msumari mwingine umejaa kimiani. Ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 2-0 Real Bamako ikiwa ni mchezo wa kimataifa. Mayele alianza kupachika bao dakika ya 8 akiwa ndani ya 18 lilidumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza….

Read More

KMC KAMILI KUIKABILI KAGERA SUGAR

UOGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Machi 9,2023 Uwanja wa Uhuru. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hao kumenyana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Rekodi mbaya kwa timu zote mbili zimetoka kufungashiwa virago kwenye Azam Sports…

Read More

MWANA FA:NILIONA MABAO SABA KWA SIMBA

MWANA FA amesema kuwa aliona nafasi saba za Simba kufunga lakini juhudi zao zilikwama na mwisho mfungaji akawa ni Clatous Chama jambo ambalo ni pongezi kwa timu kupata pointi tatu. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa dakika 90 zilizomsa Simba 1-0 Vipers FC ya Uganda. Mwana FA amesema:”Niliona namna wachezaji ambavyo mlikuwa mnapambana kusaka…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Real Bamako, Uwanja wa Mkapa hiki hapa:- Diarra Djigui Djuma Shaban Joyce Lomalisa Mwamnyeto Job Bangala Kisinda Mudhathir Mayele Aziz KI Musonda Akiba Metacha Bacca Kibwana Mauya Doumbia Aucho Farid Moloko

Read More

MANULA KIMATAIFA KWENYE DAKIKA 180 ZA KICHEKO

SHUKRANI kwa Aishi Manula namna ambavyo amekuwa akizungumza na mabeki wake licha ya makosa ambayo hayazuiliki. Manula kwenye mechi mbili mfululizo anga za kimataifa hajatunguliwa mechi ambazo amekaa langoni dhidi ya Vipers Uganda. Kazi kubwa kwa safu ya ulinzi pamoja na viungo bila kusahau washambuliaji kwa kuwa kuwa wakati walikuwa wanarejea nyuma kulinda. Dakika 180…

Read More

MWAMBA HUYU AINGA ANGA ZA JANGWANI

NYOTA Cheickna Diakite anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Yanga, Nyota huyo anakipiga ndani ya kikosi cha Real Bamako ambacho leo kitatupa kete yake dhidi ya Yanga. Winga huyo ni moja ya wanaofanya vizuri kwenye kikosi hicho ambacho kina maskani yake Mali. Ni miaka 18 anayo kijana huyo akiwa anakipiga ndani ya Real Bamako.

Read More

NYOTA HAWA WA KAZI KUIKOSA REAL BAMAKO

NYOTA wa Yanga, Jesus Moloko kuna hatihati akaukosa mchezo wa leo dhidi ya Real Bamako kutokana na kutokuwa fiti. Nyota huyo alipata maumivu kwenye mchezo wa Azam Sports Federation dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulikuwa ni wa hatua ya 16 bora. Moloko ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ambapo kwenye…

Read More

IHEFU WAKIMBIZA FEBRUARI

IHEFU yenye maskani yake pale Mbeya imepeta kwa Februari baada ya kusepa na tuzo mbili mazima. Ni tuzo ya mchezaji bora ambayo ipo mikononi mwa Yacouba Songne ambaye ni mshambuliaji aliyejiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga. Yacouba amewashinda wachezaji wenzake ambao ni Elias Maguli wa Geita Gold na  Meddie Kagere wa Singida Big…

Read More

HIVI NDIVYO NGOMA ILIVYOPIGWA MPAKA ROBO FAINALI

NGOMA ilipigwa na mwisho wa siku timu nane zimetinga hatua ya robo fainali Kombe la Azam Sports Federation. Hapa  tunakuletea namna kazi ilivyokuwa kwa wapambanaji hao kusaka ushindi namna hii:- Simba 4-0 African Sports, Uwanja wa Uhuru Ilikuwa Machi 2,2023 ambapo mabao ya Simba yalifungwa na Jean Baleke dakika ya 36,Kennedy Juma dakika ya 47,…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA VIPERS

LICHA ya ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Vipers bado lile pira Dubai kwa Simba linasakwa kwa tabu sana na ubutu wa ushambuliaji ukiwa ni shida. Bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa hatua ya makundi limefungwa na Clatous Chama katika dakika ya 45. Shukrani kwa Aishi Manula kwa kazi…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA REAL BAMAKO

KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Vipers Uwanja wa Mkapa Aishi Manula Shomari Kapombe Henock Inonga Joash Onyango Mohamed Hussein Mzamiru Yassin Sadio Kanoute Clatous Chama Saidi Ntibanzokiza Pape Sakho Moses Phiri Akiba Beno Kakolanya Israel Mwenda Kennedy Juma Jonas Mkude Peter Banda Erasto Nyoni John Bocco Jean Baleke Habib Kyombo

Read More

SABABU YA SURE BOY KUIKOSA REAL BAMAKO IPO HIVI

VIONGOZI wa Klabu ya Yanga ikiwa ni pamoja na Rais Injnia Hersi Said leo Machi 7,2023 leo mchana walishiriki kwenye mazishi ya kumuaga mtoto wa mchezaji Salum Abubakar, Magomeni, Dar es Salaam. Pia Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi naye alikuwa miongoni mwa waliohudhuria. Kwa mujibu wa Nabi, kiungo huyo hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachopambana…

Read More

KMC KWENYE KIBARUA KINGINE TENA

IKIWA imefungashiwa virago kwenye Kombe la Azam Sports Federation ubao wa Uwanja wa Manungu uliposoma Mtibwa Sugar 1-0 KMC kuna kibarua kingine kizito kinawakabili. KMC chini ya Kocha Hitimana Thiery haijawa na mwendo mzuri kwenye mechi zake za ligi na sasa matumaini ya kutwaa taji la Azam Sports Federation yameyeyuka baada ya kuondolewa hatua ya…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU NDEFU REAL BAMAKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unahitaji kuvunja rekodi ya mabao waliyowafunga TP Mazembe kwenye mchezo wa kimataifa. Timu hiyo ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Machi 8 in kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Real Bamako ambapo mchezo wao uliopita waligawana pointi mojamoja nchini Mali. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema…

Read More