BEKI WA KAZI YANGA KUKUNJA MKWANJA MREFU

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Ibrahim Hamad ataboreshewa mshahara pamoja na mkataba wake. Beki huyo bado yupo ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kusaini dili la miaka mitatu ameonyesha uwezo mkubwa kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ni mwepesi kwenye…

Read More

SIMBA KUSHUSHA MITAMBO YA KAZI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utaingia sokoni kuleta mtambo wa mabao utakaoongeza kasi kwenye idara hiyo kwa msimu wa 2023/24. Timu hiyo imegotea nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wanatetea taji hilo walilotwaa msimu uliopita 2021/22. Ipo wazi kuwa Kocha Mkuu wa…

Read More

HAPA NDIPO AZAM ITAANZIA KUFANYA KAZI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utafanya mchakato wa kuboresha benchi la ufundi kwa kuanza na kumleta kocha mpya wa makipa. Azam FC imeshuhudia mabingwa wa msimu wa 2022/23 kwenye ligi wakiwa ni Yanga chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi. Kwenye mechi ambazo walikutana na Yanga ndani ya ligi walipata sare moja na kupoteza…

Read More

KOCHA ALIYEPELEKA MAUMIVU MSIMBAZI SAFARI IMEMKUTA

KALI Ongala aliyekuwa kocha msaidizi wa Azam FC hatakuwa kàtika benchi hilo kwa msimu wa 2023/24. Kocha huyo amepeleka maumivu kwa Simba mara mbili kwenye mashindano tofauti ligi na shirikisho. Ongala mchezo wake wa mwisho kukaa benchi ilikuwa Juni 12 aliposhuhudia ubao wa Uwanja wa Mkwakwani ukisoma Azam FC 0-1 Yanga. NI fainali ya Azam…

Read More

KOCHA YANGA KUIBUKIA SIMBA

BAADA ya mabosi wa Simba kuachana na Chlouha Zakaria aliyekuwa kocha wa makipa jina la kocha wa Yanga, Milton Nienov linatajwa mitaa ya Msimbazi. Juni 15 Simba imebainisha kuachana na kocha huyo ambaye alikuwa anawanoa Aishi Manula kipa namba moja wa Simba, Beno Kakolanya kipa namba mbili pamoja na Ally Salim ambaye ni kipa namba…

Read More

WAPEWA MKONO WA ASANTE AZAM FC

KIUNGO wa Azam FC Keneth Muguna ni miongoni mwa nyota ambao hawatakuwa sehemu ya kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Raia huyo wa Kenya hajawa na msimu bora ndani ya 2022/23 kutokana na kushindwa kuonyesha makeke yake. Ni shuhuda wa timu hiyo ikipoteza mchezo wa fainali ya Azam Sports Federation kwa ubao wa Uwanja wa…

Read More

NABI KUIBUKIA AFRIKA KUSINI

BAADA ya kufikia makubaliano ya kutoongeza mkataba ñdani ya Yanga, Nasreddine Nabi anatajwa kuwa katika hesabu za Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Dili la Nabi lilikuwa linagota ukingoni mwishoni mwa msimu huu wa 2022/23. Nabi amekiongoza kikosi cha Yanga msimu wa 2022/23 kwa mafanikio makubwa ikiwa ni pamoja na kutwaa taji la Ligi Kuu Bara,…

Read More

NYOTA NTIBANZOKIZA ASEPA NA TUZO KIBAO

NYOTA wa Simba Saido Ntibanzokiza amefunga msimu wa 2022/23 kabati lake likiwa limejaza tuzo sita ikiwa ni rekodi bora kwake mbele ya mastaa wa Namungo, Yanga na Singida Big Stars. Ni Tuzo ya mchezaji bora kwa Mei akiwashinda Prince Dube wa Azam FC na Charlse Ilanfya wa Mtibwa Sugar ambapo ndani ya Mei nyota huyo…

Read More

MWISHO WA UBISHI TUZO YA MFUNGAJI BORA

KATIKA usiku wa tuzo za Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na benki ya NBC, ule ubishi wa nani atakuwa mfugaji bora uligota mwisho rasmi kwa kumtambua ambaye amesepa na tuzo hiyo. Nyota wawili kwenye ligi walitupia mabao 17 kwa kila mmoja ikiwa ni Saido Ntibanzokoza kiungo mshambuliaji wa Simba na Fiston Mayele mshambuliaji wa Yanga. Baada…

Read More

BEKI LA KAZIKAZI LASEPA NA TUZO

DICKSON Job beki wa kazikazi anayeitumikia Klabu ya Yanga ana tuzo ya beki bora msimu wa 2022/23. Job wa Yanga amewashinda washkaji zake aliokuwa anapambana nao kwenye kipengele hicho ikiwa ni pamoja na nahodha wake Bakari Mwamnyeto. Wengine ni Mohamed Hussein, Shomari Kapombe na Henock Inonga wote ni mali ya Simba. Inonga alikuwa na tuzo…

Read More

KIKOSI BORA SIMBA WATAWALA, SINGIDA YAPENYA

KIKOSI bora msimu wa 2022/23 ni nyota mmoja kutoka Singida Big Stars mkali wa mapigo huru anaitwa Bruno Gomes ni kiungo mshambuliaji. Simba iliyogotea nafasi ya pili imetoa wachezaji 6 ambao ni Shomari Kapombe, Mohammed Zimbwe, Henock Inonga, Muzamiru Yassin, Claotus Chama na Saido Ntibazonkiza. Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara wametoa wachezaji…

Read More

IJUE REKODI ALIYOFUNGA NAYO JOHN BOCCO

NAHODHA wa Simba John Bocco amefunga msimu wa 2022/23 na rekodi yake a kufuta gundu ya kukwama kupachika bao ndani ya 2023. Ipo wazi kuwa ni Desemba 30 2022 Bocco alifunga mabao kwenye mchezo wa kufungia mwaka kwa Simba alipowatungua mabao matatu Tanzania Prisons, Uwanja wa Mkapa. Bocco alianza kwa kasi kwenye kucheka na nyavu…

Read More