TANZANIA PRISONS YAZITAKA POINTI ZA MNYAMA

TANZANIA Prisons, (Wajelajela) leo Oktoba 5 wanatarajia kuwapigisha kwata Simba Kwa kuwachezea pira gwaride mguu pandeeeee. Chini ya Kocha Mkuu, Felix Minziro Prisons ameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu muhimu. Mchezo huo ni wa mzunguko wa nne ambapo Simba itakuwa ugenini ukiwa ni mchezo wake wa pili. Mchezo wa kwanza Simba kuwa ugenini ilikuwa dhidi…

Read More

MPIRA SIO VITA, AFYA NA UMAKINI NI MUHIMU

MWENDO wa Ligi Kuu Bara unazidi kupasua anga taratibu. Tunaona namna ambavyo kazi kubwa ipo kwenye msako wa pointi tatu muhimu hili ni jambo la msingi. Pongezi kwa wachezaji namna ambavyo wanajituma kutimiza majukumu yao. Kila mmoja anapenda kuona namna ilivyo mwisho wa mchezo muhimu kuwa makini kwenye kutafuta ushindi. Mzunguko wa tatu umekwenda na…

Read More

BANGALA MAJANGA AZAM FC

NI Yannick Bangala kiungo wa Yanga hatakuwa kwenye mchezo ujao wa timu hiyo dhidi ya Coastal Union, Oktoba 6 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Bangala amechanika msuli wa nyuma ya paja, kwenye mchezo wa jana Jumanne dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya mechi hiyo, Bangala alirudi Dar Es Salaam kwa vipimo zaidi, wakati timu ikielekea Tanga…

Read More

LIGI KUU BARA: IHEFU 1-1 YANGA

UBAO wa Uwanja wa Highland Estate katika dakika 45 za mwanzo umekuwa ni sawa kwa timu zote mbil. Ni Ihefu 1-1 Yanga wababe hawa wakiwa kwenye msako wa pointi tatu. Lenny Kisu amefunga bao la kwanza dhidi ya Yanga dakika ya 40 kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwa ilikuwa bado haijafungwa. Ni Pacome Zouzoua kapachika…

Read More

UBORA WA AZAM FC ULIFICHWA NAMNA HII DODOMA

KOCHA msaidizi wa Dodoma Jiji, Kassim Lyogope amesema kuwa ubora wa Azam FC upo kwenye viungo na hapo walipambana kuwabana wasipige pasi ndefu Kwa washambuliaji. Ni Idris Mbombo alikuwa miongoni mwa washambuliaji waliopata nafasi ya kuonyesha makeke yake Uwanja wa Jamhuri,Dodoma. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma Dodoma Jiji 0-0 Azam FC hivyo wakagawana pointi…

Read More

TATIZO LA SIMBA LIPO HAPA, KOCHA AFUNGUKA

WAKIWA katika maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons Oktoba 5, tatizo la ubora wa wachezaji wa Simba limeanza kuwatesa mapema. Wapo baadhi ya wachezaji hawana nafasi kabisa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na Chilunda hii ni kutokana na kutokuwa fiti, Henock Inonga, Aubin Kramo na Aishi Manula. Luis Miqussone…

Read More

MPANGO WA RATIBA UHESHIMIWE, MALALAMIKO INATOSHA

MPANGILIO wa ratiba ambayo inapangwa na Bodi ya Ligi Tanzania umekuwa ukienda kwa kasi kutokana na mashindano ambayo yapo. Tunaona mzunguko wa tatu umekwenda kwa umakini na kilatimu kukamilisha majukumu yake. Ni mzunguko wa nne sasa huku kila timu ikipambana na hali yake. Jambo la msingi kwa wachezaji na benchi la ufundi kuwa tayari kwa…

Read More

KAMATA MAOKOTO YA KUTOSHA MERIDIANBET

Je, unataka kushinda zawadi za kuvutia kama pikipiki, simu au mizunguko ya bure?  Je, unapenda kubashiri michezo au kucheza sloti na kasino mtandaoni?  Basi usikose nafasi hii ya kujiunga na Promosheni hii mpya kutoka Meridianbet. Promosheni ya “Jichukulie Maokoto na Halopesa” Inafanya kazi pale ambapo mteja wa Meridianbet ataweka pesa TZS 10,000 au zaidi, na…

Read More

HIVI NDIVYO MZAMIRU ALIVYOFANYA MAADILIKO YA KANOUTE CAF

KWENYE mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba 1-1 Power Dynamow, Mzamiru alikomba dakika 58 nafasi yake ikachukuliwa na Willy Onana ambaye ni kiungo mkabaji. Akiwa benchi Simba ilipata bao dakika ya 69 muda mfupi baada ya kiungo huyo mkabaji kutoka. Alipotazama wapinzani wao wanashambulia kwa kasi hakuna kiungo mkabaji wa asili, akitazama benchi yupo…

Read More