
SINGIDA FOUNTAIN GATE KUWATAMBULISHA NYOTA WAPYA
IMEELEZWA kuwa nyota watatu wanatarajiwa kutambulishwa siku ya Singida Fountain Gate ikiwa ni zawadi yao kwa mashabiki msimu wa 2023/24. Taarifa zimeeleza kuwa Singida Fountain Gate ambayo imewatambulisha baadhi ya nyota wao ikiwa ni Yahya Mbegu huku ikiwaongezea mikataba Bruno Gomes, Aziz Andambwile bado haijamaliza kusajili. “Kuna wachezaji watatu ambao hawajatajwa popote kwa sasa hao…