SHINDA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI SUPER HELI

Meridianbet inakuletea shindano la kuvutia ambapo unaweza kujishindia simu mpya ya Samsung A25 kwa kucheza mchezo wa kusisimua wa Super Heli. Kuanzia tarehe 1 Juni hadi 30 Juni, washindi wawili kila Jumatatu watajinyakulia simu mpya kwa kushiriki kwenye huu mchezo wa kasino ya mtandaoni. Super Heli si tu burudani ya kipekee, bali pia ni njia…

Read More

TAARIFA ZA UJANJA UJANJA KUMONDOA RAIS WALLACE KARIA ZIACHWE

Tayari kuna taarifa kadhaa kutoka katika vyombo mbalimbali nje ya Tanzania kwamba kuna UJANJA unafanywa kwa ajili ya kumuondoa madarakani Wallace Karia. Inaelezwa eti Serikali ndio imeamua. Wajanja wanataka kutumia mwanya wa njia ya MKATO kuwaingiza wawatakao madarakani kwa faida ya mfanyabiashara MMOJA TU. Serikali haiwezi KUINGILIA MASUALA YA SOKA na hakuna kokote inaonyesha TFF…

Read More

FOUNTAIN GATE VS AZAM FC PATACHIMBIKA

Mchezo wa Fountain Gate vs Azam FC, Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Juni 22 2025 patachimbika uwanjani kwa wababe hao kuvuja jasho kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Fountain Gate hesabu kubwa ni kujinasua kutoka mstari wa kucheza play off huku Azam FC hesabu kubwa ikiwa ni kumaliza ndani ya tatu bora ikiwa na pointi nyingi….

Read More

CHEZA SUPER HELI USHINDE SAMSUNG A25 MPYA

Kampuni inayoaminika zaidi kwenye michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeleta tena promosheni inayotikisa. Mwezi huu wa Juni, usikose kushiriki katika ofa kabambe iitwayo “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A25”, promosheni maalum kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, hasa mchezo wa Super Heli. Kupitia promosheni hii, unapata nafasi ya kushinda simu mpya aina ya Samsung…

Read More