>

SINGIDA BLACK STARS KUKIPIGA NA MTIBWA SUGAR

HUSSEN Massanza, Ofisa Habari wa Singida Black Stars ameweka wazi kuwa watakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya Mtibwa Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Timu hiyo imeweka kambi Dar na mchezo ujao wa ligi dhidi ya Kagera Sugar unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Kaitaba, Bukoba. Massanza amesema kuwa wanatambua umuhimu uliopo kwenye ligi hivyo…

Read More

SIMBA YAKIRI UGUMU KUTENGENEZA NAFASI ZA KUFUNGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuna ugumu kwenye kutengeneza nafasi za wazi katika mechi za ushindani jambo linalowafanya kutumia mbinu nyingine kusaka ushindi. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara ubao wa Uwanja wa KMC, Mwenge ulisoma Simba 3-0 Tabora United mabao yakifungwa na Che Malone dakika ya 14, Valentino Mashaka dakika…

Read More

YANGA KUTUMA UJUMBE CAF KWA MTINDO HUU

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika wanahitaji ushindi mkubwa dhidi ya Vital’O ili kutuma salamu kwa wapinzani wao Afrika. Agosti 24 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa marudio. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kwamba wanatambua umuhimu…

Read More

AZAM FC YATAJA UGUMU WA APR ULIPO

BENCHI la ufundi la Azam FC limebainisha kuwa lina kazi kubwa yakufanya kuelekea mchezo wa marudio dhidi ya APR ya Rwanda unaotarajiwa kuchezwa Agosti 24 2024 huku likiweka wazi kuwa ugumu wa kupata matokeo mbele ya wapinzani wao ni eneo la ulinzi kutokana na namna ambavyo wanajipanga. Ipo wazi kwamba mchezo wa awali wa Ligi…

Read More

MERIDIANBET YAFIKA KIGAMBONI SIKU YA UTU DUNIANI

Meridianbet wamesambaza Utu mitaa ya Kigamboni katika siku ya Utu duniani baada ya kufika eneo hilo na kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa familia duni. Mara kwa mara mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao haswa zile zenye uhitaji kwelikweli, Ndicho walichokifanya leo baada ya kufika kwenye familia zenye uhitaji…

Read More

AZIZ KI, CHAMA, KIBABAGE WAPEWA KAZI NZITO YANGA

NYOTA wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ikiwa ni Aziz Ki, Clatous Chama, Kibabage wamepewa kazi nzito ya kufanya kwenye anga la kimataifa kuhakikisha wanawapa furaha mashabiki Agosti 24 2024 na mashabiki kazi yao ni kuvunja rekodi kwa kujitokeza Uwanja wa Mkapa kuwashangilia wachezaji watakapovaana na Vital’O ya Burundi mchezo wa Ligi ya…

Read More

SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA AWESU AWESU

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa taratibu nyota wao wanazidi kuimarika kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Simba mchezo wa kwanza wa ligi uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge iliibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United mabao yakifungwa na Che Malone dakika ya 14, Valentino Mashaka dakika ya…

Read More

MCHEZAJI BORA SIMBA ATUMA UJUMBE HUU BONGO

CHE Malone beki wa Simba ambaye alichaguliwa kuwa mchezaji bora kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tabora United ameweka wazi kuwa mashabiki wanawaogezea ngvu kwenye ushindani kutokana na uwepo wao hivyo waendelee kuwa nao kila wakati. Mchezo wa kwanza wa ufunguzi kwa Simba ndani ya msimu wa 2024/25 ni Simba ilivuna pointi tatu…

Read More

SHINDA KISHUA KWA KUCHEZA EXPANSE KASINO

Ukiwa na Meridianbet kupitia shindano la Expanse Kasino unaweza kutusua mkwanja wa Mamilioni kishua Zaidi. Jisajili sasa upate bonasi ya ukaribisho ya Tsh 3,000,000/= Katika Promosheni hii unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea. Washindi wap[atao 40 watanufaika na bonasi…

Read More

SIMBA YAANZA KWA USHINDI LIGI KUU BARA

SIMBA imeeibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Tabora United kwenye mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge. Huu ni mchezo wa kwanza kwa timu zote mbili ambapo Tabora United waliingia uwanjani kwa hesabu za kujilinda zaidi huku wakifaya mashambulizi kwa kushtukiza mbele ya Simba. Mabao yamefungwa na Che Malone dakika…

Read More