
ARSENAL WAKIMCHUKUA NEYMAR UKAME WA MATAJI KUFUTWA
NYOTA wa zamani wa Arsenal, Julio Baptista amependekeza uhamisho wa mshambuliaji wa Brazil, Neymar unaweza kuwa msingi kwa The Gunners. Amebainisha kuwa ikiwa Arsenal watampata mshambuliaji huyo watamaliza ukame wao wa taji la Ligi Kuu England. Arsenal hadi sasa msimu huu wa usajili tayari wametumia takribani pauni 200m kwa kuwavuta Declan Rice, Kai Havertz na…