SALAH AINGIA ANGA ZA PSG NA BARCELONA

MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool anatajwa kuingia katika rada za PSG na Barcelona ambazo zinahitaji saini yake. Mkataba wake ndani ya Liverpool kwa sasa una uhai wa miezi 18 na unatarajiwa kumeguka 2023. Mpaka sasa hakujawa na taarifa yoyote kutoka Liverpool ambao walikaa naye mara ya mwisho Desemva mwaka jana kuhusu kuboresha mkataba wake. Staa…

Read More

SIMBA YAPOTEZA KIMATAIFA BAO 3-0 YACHAPWA

UGENINI Simba imepoteza kwa kufungwa mabao 3-0 huku mabao yakipachikwa na Aubin Kramo Kouame dk 16,Stephane Aziz dk 23 na Karim Konate dk 57. Licha ya Air Manula kuokoa penalti mbili bado kazi ilikuwa ngumu kwa washambuliaji kuweza kucheka na nyavu. Katika kundi D sasa pointi inashushwa kutoka nafasi ya kwanza mpaka nafasi ya tatu…

Read More

MAPUMZIKO:ASEC MIMOSAS 2-0SIMBA

UBAO unasoma ASEC Mimosas 2-0 Simba na utulivu kwa Simba tatizo dk 14 za mwanzo walitengeneza nafasi nne zote wakakosa na ni shuti moja la Meddie Kagere lililenga lango dk ya 27. Aubin Kramo Kouame dk 16 na Stephane Aziz wamemtungua Manula ambaye aliokoa penalti dk ya 36. Simba ina kazi kubwa ya kuweza kusaka…

Read More

SIMBA KAZINI LEO KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho wakiwa hatua ya makundi Simba wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ASEC Mimosas. Huu ni mchezo wa tano kwa Simba wakiwa na pointi 7 kibindoni baada ya kucheza mechi 4 na wapinzani wao ASEC Mimosas wapo nafasi ya pili na pointi 6. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza…

Read More

NYOTA WAWILI WA ARSENAL KUIKOSA ASTON VILLA

KLABU ya Arsenal inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta itakuwa kwenye msako wa pointi tatu muhimu ndani ya Ligi Kuu England bila uwepo wa nyota wake wawili. Ni kipa Aaron Ramsdale pamoja na mshambuliaji Gabriel Martinelli ambao hawakuwepo katika safari ya kuibukia Midlands. Ramsdale yeye ana maumivu huku Marttinelli anapambania afya yake kwa kuwa anaumwa….

Read More

NYOTA IGBOUN AVUNJA MKATABA

NYOTA Sylvester Igboun (31) raia wa Nigeria amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun ametumia kanuni mpya ya FIFA inayowaruhusu raia wa kigeni wanaocheza mpira wa kulipwa nchini Urusi kusimamisha mikataba yao na kuondoka kwa muda. Tofauti na ilivyotarajiwa, mshambuliaji huyo ameamua kuuvunja…

Read More

LEEDS UNITED WAPINDUA MEZA MBELE YA WOLVES

ILIKUWA ni bonge moja ya mechi na upinduaji meza wa kipekee baada ya Leeds United kuwa nyuma kwa mabao 2-0 dhidi ya Wolverhampton Wanderers. Mabao ya Jonny Otto dk 26 na Francisco Machado Trincao dk 45+11 yaliwapa uongozi kwa muda Wolverhampton na baada ya Raul Jimenez kuonyeshwa kadi nyekundu dk 53 meza iliweza kuanza kupinduliwa….

Read More

MANCHESTER UNITED MAJANGA HUKO,KOSA LAO LATAJWA

RALF Rangnick, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa walishindwa kutumia vizuri nafasi ambazo walizipata kipindi cha kwanza jambo ambalo liliwafanya wapoteze mchezo wao. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Old Trafford ulisoma Manchester United 0-1 Atletico Madrid. Matokeo hayo yanaiondoa mazima United katika UEFA Champions League kwa jumla ya mabao 1-2 ambayo…

Read More

MANCHESTER CITY HAWAAMINI MACHO YAO

VINARA wa Ligi Kuu England, Manchester City hawaamini macho yao baada ya kubanwa mbavu na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu England. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Selhurst Park ulisoma Crystal Palace 0-0 Manchester City na kuwafanya wagawane pointi mojamoja. Sare hiyo inawafanya City kufikisha alama 70 wakiwa nafasi ya kwanza…

Read More

SIMBA KUCHEZA KIBINGWA LEO KIMATAIFA

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco, ameweka wazi kuwa kuelekea mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya RS Berkane, benchi la ufundi la timu hiyo linafanya maandalizi makubwa kuhakikisha si tu kwamba kikosi chao kinaibuka na ushindi dhidi ya Berkane, lakini pia kinatoa burudani ya kibingwa. Simba wanatarajia kuvaana na Berkane leo Jumapili katika mchezo…

Read More

ABRAMOVICH APEWA RUKSA KUIWEKA SOKONI CHELSEA

ROMAN Abramovich na Serikali ya Uingereza imeripotiwa kwamba wamefikia makubaliano kwa ajili ya suala la mauzo ya timu ya Chelsea. Serikali inaelezwa kuwa inazingatia suala la timu hiyo kuwekwa sokoni ili kuweza kupata matokeo mazuri kwa ajili ya Chelsea. Kampuni ya Raine Group imeelezwa kuwa imepewa ruhusa ya kuendelea na mchakato wa kusaka mshindani ambaye…

Read More