BACELONA YAPIGIKA NYUMBANI LA LIGA

Bao la dakika za jioooni la Alexander Sorloth limeipatia Atletico Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Olímpic Lluís Companys na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga). Atletico Madrid imefikisha pointi 41 baada ya mechi 18 huku Barcelona ikiporomoka mpaka nafasi ya pili pointi 38 baada ya mechi 19….

Read More

ADEMOLA LOOKMAN ASHINDA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA SHIRIKISHO LA SOKA AFRIKA (BALLON D’OR)

Mshambuliaji wa klabu ya Atalanta ya Italia na timu ya taifa ya Nigeria, Ademola Lookman ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka wa Shirikisho la soka Afrika (Ballon d’or) kwenye tuzo za CAF zilizofanyika Mjini Marrakesh , Morocco. Lookman (27) amewashinda Simon Adingra wa Ivory Coast, Serhou Guirassy wa Guinea, Achraf Hakimi wa Morocco na…

Read More

KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF MWAKA 2024… ONANA WA MAN UTD NDANI

Kikosi bora cha Mwaka 2024 Afrika kwa Wanaume, Ronwen Williams ametemwa huku Andre Onana wa Manchester United akijumuishwa sambamba na Mohammed Kudus, Ademola Lookman na Mohammed Salah. KIKOSI BORA CHA MWAKA CAF 🇨🇲 André Onana 🇲🇦 Achraf Hakimi 🇸🇳 Kalidou Koulibaly 🇨🇩 Chancel Mbemba 🇲🇦 Sofyan Amrabat 🇨🇮 Franck Kessié 🇲🇱 Yves Bissouma 🇬🇭 Mohammed…

Read More

JESHI LA YANGA NDANI YA DR CONGO HILI HAPA

KIKOSI cha Yanga kimewasili salama nchini DR Congo baada ya kukwea pipa Desemba 12 2024 ikiwa ni maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe unaotarajiwa kuchezwa Jumamosi. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Desemba 14 2024 utakuwa ni watatu kwa Yanga kushuka uwanjani katika anga la kimataifa. Kwenye orodha hiyo…

Read More

KOCHA MANCHESTER UNITED MAMBO MAGUMU

BAADA ya kupoteza kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa London ukisoma West Ham 2-1 Manchester United, Gary Neville ameweka wazi kuwa anafikiria Eric ten Hag atafukuzwa ndani ya timu hiyo. Manchester Legend, Gary Neville amesema kuwa anaamini bosi wa Manchester United, Eric ten Hag ataondolewa katika majukumu yake ndani ya Manchester United, inayotumia Uwanja wa…

Read More

SALEH JEMBE AMSHUSHA VYEO CHAMA – ”HAKUNA FREE KICK KALI PALE – MPIRA ULIKUWA UNATOKA”…

Mchambuzi mkongwe wa soka nchini Saleh Jembe, amefunguka kupitia Global TV, ameonyeshwa kutopendezwa na maamuzi mabovu yaliyofanywa na mwamuzi Ramadhani Kayoko, katika mchezo kati ya Simba na Yanga jumamosi iliyopita, akikiri kuwa Kwa mwamuzi wa viwango vya FIFA kama Kayoko haipendezi kufanya Maamuzi kama aliyoyafanya. Jembe amezungumza hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Global TV, ambapo…

Read More

KOCHA YANGA AANIKA SILAHA za MAANGAMIZI KUELEKEA DERBY ya KARIAKOO – ATAJA KIKOSI – VIDEO

Kauli ya kocha wa Yanga Sc Miguel Gamondi kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Simba Sc. Tuna furaha kubwa kuelekea kwenye ligi huku tukiwa na mchezo muhimu wa Derby. Tupo vizuri, tuna matumaini makubwa ya kufanya vizuri hapo kesho. Hatujabadilika sana kwenye maandalizi tumejiandaa kama ambavyo tumekuwa tukifanya hapo awali” “Tumetokea kwenye wiki ya FIFA…

Read More