SIMBA HESABU ZAKE KWA MKAPA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wa pili wa robo fainali dhidi ya Al Masry unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza iliyochezwa Aprili 2 2025 Uwanja wa Suez Canal…

Read More

KIKWAZO KWENYE MERSEYSIDE DERBY HIKI HAPA

KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot ameweka wazi kuwa mchezo wao wa Merseyside Derby lazima wapambane kupata ushindi huku kikwazo kikitajwa kuwa ni David Moyes ambaye ni Kocha Mkuu wa Everton kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Anfield. Huu ni mchezo wa Ligi Kuu England ambapo vinara hao wa ligi wakiwa na pointi 70 baada…

Read More

AL AHLY NA PYRAMIDS ZIMEANZA HATUA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KWA USHINDI

Miamba ya Nchini Misri, Al Ahly na Pyramids zimeanza hatua robo fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi huku Maharamia wa Afrika Kusini, Orlando Pirates wakiilaza MC Alger ya Algeria ugenini. FT Pyramids πŸ‡ͺπŸ‡¬ 4-1 πŸ‡²πŸ‡¦ FAR Rabat ⚽ 02’ Mayele ⚽ 12’ Mayele ⚽ 39’ Adel ⚽ 67’ Adel ⚽ 45’ Hadraf FT Al…

Read More

SIMBA YAWAPIGIA HESABU HIZI WAARABU

FADLU Davids, Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba ambacho kinapeperusha bendera ya Tanzania kimataifa amesema hesabu kubwa ni kuona wanapata matokeo chanya kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry ya Misri ambao unatarajiwa kuchezwa leo saa 1:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo nchini Misri ni…

Read More

MECHI KALI ZINAENDELEA LEO BUNDESLIGA NA PRIMEIRA LIGA, MCHONGO UPO HAPA

Mechi kali zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Uingereza, CHAMPIONSHIP kitawaka vilivyo Sheffield United atakipiga dhidi ya Coventry City ambao mechi yao iliyopita wakishinda halikadhalika kwa mwenyeji naye aliondoka na ushindi. Mara ya mwisho kukutana…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA COASTAL UNION

UWANJA wa Sheikh Amri Abeid, Machi Mosi 2025 kikosi cha Simba kimekuwa na mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha kwanza ikiwa ni mchezo mzunguko wa pili. Hiki hapa kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza dhidi ya Coastal Union hiki hapa:- Ally Salim David Kameta Nouma Chamou Hamza Jr Kagoma Yusuph Kibu Dennis Mavambo Mukwala Ahoua Mpanzu Akiba ni:-Abel,…

Read More

Early Payout Inaendelea Kumwaga Mpunga

Wikiendi ndio hii wale wanaobashiri kupitia mpira wa miguu wana fursa ya kutamba na kujipigia mkwanja kirahisi, Kwani chaguo linalotamba kwasasa la Early payout litakua kwenye michezo mingi itakayopigwa chaguo chaguo hili upige mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet. Meridianbet wamekuja na kitu kinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo…

Read More

FIFA YAIFUNGIA CONGO BRAZZAVILLE KUSHIRIKI SHUGHULI ZOTE ZA KISOKA

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki katika mashindano ya Kimataifa. FIFA ilifafanua kuwa imeamua kusitisha uanachama wa shirikisho la soka la Congo Brazzaville hadi itakapotangazwa tena, kutokana na kuingilia kati kwa Waziri wa michezo wa Congo,…

Read More