
DIOGO JOTA APELEKA KILIO, POINTI 12 UBINGWA HUO
KWENYE Merseyside Derby, Liverpool wamekomba pointi tatu mazima mbele ya Everton katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Anfield wakiendeleza kampeni yao kuwinda ubingwa wa Ligi Kuu England. Shukrani kwa Diogo Jota ambaye alifunga bao la ushindi kwenye mchezo huo kipindi cha pili dakika ya 57 likafumu mpaka mwisho wa mchezo. Pointi 73 wanafikisha Liverpool wakiwa nafasi…