
BRAZIL WAKUMBANA NA KIPIGO KUTOKA KWA WAAFRIKA
SHUKRANI kwa nahodha wa timu ya taifa ya Cameroon ambaye anakuwa ni raia wa Afrika wa kwanza kutoka Afrka kuwatungua Brazil na kuonyeshwa kadi nyekundu wakati akishanglia kwa kuwa alikuwa na kadi mbili za njano. Licha ya ushindi wa bao 1-0 waliopata Cameroon kwenye mchezo wa hatua ya makundi ikiwa ni kutoka kundi G walikwama…