PUMZIKA KWA AMANI LEGEND PELE

GWIJI wa soka wa Brazil Pele, mmoja wa wachezaji bora zaidi wa wakati wote, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 82. Mshambulizi huyo wa zamani, ambaye ndiye mchezaji pekee katika historia kushinda vikombe vitatu vya Kombe la Dunia, aliaga dunia katika hospitali ya Albert Einstein mjini Sao Paulo kufuatia kuugua saratani. Pele, ambaye ni…

Read More

KLOPP ANACHEKA ISHU YA USAJILI WA JUDE

KOCHA Mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp alicheka alipoulizwa kama Liverpool inaweza kumsajili Jude Bellingham mnamo Januari lakini alikiri kuwa klabu hiyo imejiandaa kwa dirisha lijalo la usajili. Liverpool wamekuwa wakihusishwa na kiungo wa kati wa Borussia Dortmund Jude Bellingham ili kuimarisha safu yao ya kati ambayo ubora wake umeporomoka kutokana na kuwa na wachezaji ambao…

Read More

MATUMAINI YA UBINGWA KWA RANGERS YAPO

NYOTA John Lundstram bao lake la kipindi cha kwanza liliweka hai matumaini ya Rangers ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Scotland walipoilaza Ross County 1-0 huko Dingwall. Kombora kali la kiungo huyo lilimfanya bosi mpya Michael Beale kupata ushindi mara tatu ndani ya siku nane pekee baada ya kipa Jon McLaughlin ambaye alifanya kazi kubwa…

Read More

LIVERPOOL NDIO BASI TENA WACHAPWA NA CITY

BEKI wa kati wa Manchester City, Nathan Ake alifunga bao la ushindi kwa kichwa wakati timu hiyo ikiwachapa mabingwa watetezi Liverpool 3-2 katika mchezo wa kusisimua wa Kombe la Carabao. Ushindi huo uliopatkana Uwanja wa Etihad unaipa nafasi City kuweza kutinga hatua ya robo fainali. Licha ya kutocheza kwa mechi za ushindani kwa mwezi mmoja…

Read More

MESSI KABEBA TAJI, MBAPPE KAWEKA REKODI

NYOTA Lionel Messi aliiongoza Argentina kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa kuwashinda mabingwa watetezi Ufaransa kwa mikwaju ya penalti 4-2 baada ya sare ya 3-3 ndani ya dakika 120. Katika mchezo huo ambao utaingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwa mchezo mkubwa wa fainali kupata kuchezwa kwa vigogo hao wawili Uwanja wa Lusail Iconic….

Read More

MWAMUZI WA FAINALI HUYU HAPA

NI Szymon Marciniak raia wa Poland ameteuliwa kuwa mwamuzi wa kati kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia leo Desemba 18,2022. Ni Argentina dhidi ya Ufaransa ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe la la Dunia. Marciniak mwenye maiak 41, amekuwa mwamuzi wa FIFA tangu 2011 na fainali itakuwa mechi yake ya tatu huko Qatar,…

Read More

FAINALI YA KIBABE LEO KOMBE LA DUNIA

DESEMBA 18,2022 Fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inatarajiwa kufanyika leo Jumapili kwenye Uwanja wa Lusail Iconi. Mataifa mawili yanakutana kumsaka mshindi atakayesepa na taji hilo kubwa duniani. Mabingwa watetezi Ufaransa wenye Klylian Mbappe dhidi ya Argentina yenye Lionel Messi. Argentina leo watacheza fainali yao ya sita kwenye Kombe la Dunia wakiwa wamepotezwa na…

Read More

MOROCCO HUZUNI TUPU, CROATIA FURAHA

MASHABIKI wa Croatia walikuwa na furaha huku wale wa Morocco wakiwa na huzuni baada ya kupoteza mchezo wao kweye Kombe la Dunia. 44,137 ni idadi ya mashabiki ambao walikuwa ndani ya Uwanja wa Taifa wa Khalifa kushuhudia mchezo wa kumsaka mshindi wa tatu wa Kombe la Dunia 2022 Qatar ambaye ni Croatia. Matumaini ya Morocco…

Read More

SANTOS AICHA URENO YA CRISTIANO RONALDO

BAADA ya kuiongoza timu ya Taifa ya Ureno kwenye Kombe la Dunia 2022 Qatar na kutolewa katika hatua ya robo fainali na Timu ya Taifa ya Morocco, Fernando Santos aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo amesepa. Baada ya kocha huyo kubwaga manyanga jina la kocha wa Roma, Jose Mourinho ni miongoni mwa jina linalotajwa kwa…

Read More

MOROCCO WAMEMALIZA MWENDO WA KUSAKA FAINALI

MWENDO wa Timu ya Taifa ya Morocco kutoka Afrika umegotea hatua ya nusu fainali baada ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya mabingwa watetezi Ufaransa. Ufaransa imewafunga Morocco mabao 2-0 sasa itamenyana na Timu ya Taifa ya Argentina kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 inayotarajiwa kuchezwa Jumapili. Ni mabao ya…

Read More