PYRAMIDS FC MABINGWA WAPYA AFRIKA

Mamelodi Sundowns wamekuwa washindi wa pili mbele ya Pyramids FC ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Pyramids FC ya Misri ni mabingwa wapya Afrika ikipata ushindi mbele ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini kwenye fainali ya pili. Kwenye fainali nyota Fiston Mayele mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Juni Mosi wakati wakishinda mabao…

Read More

AZIZ KI AMEANZA KAZI NA TIMU MPYA

KIUNGO mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Wydad Casablanca, Aziz Ki tayari ameanza mazoezi na timu hiyo mara baada ya kumtambulisha. Ikumbukwe kwamba Ki aliibuka ndani ya timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Mchezo wa mwisho akiwa na uzi wa Yanga SC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania ambao…

Read More

HII HAPA RATIBA YA PREMIER LEAGUE

NI Jumamosi ya kazikazi Aprili 26 2025 kuna mechi kali ambazo zinatarajiwa kuchezwa ndani ya Premier League kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Miongoni mwa timu hizo ikiwa ni wiki ya 34 ni Chelsea ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 57 itakuwa kazini kumenyana na Everton iliyo nafasi ya…

Read More

SERIKALI INA MATUMAINI KWA SIMBA SC KIMATAIFA

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amebainisha kuwa ana matumaini ya kuona Simba SC inapatata matokeo mazuri kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unaotarajiwa kuchezwa Afrika Kusini, Aprili 27 2025. Simba SC inakumbuka kwamba mchezo uliochezwa Tanzania ilipata ushindi wa bao 1-0 likifungwa na Jean Ahoua inakibarua cha kusaka ushindi wa…

Read More

BARCELONA YAUSOGELEA UBINGWA WA LALIGA, YAIPIGA MALLORCA

Barcelona imeendelea kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga) kufuatia ushindi wa 1-0 nyumbani dhidi ya Real Mallorca na kusogea mpaka alama 7 mbele ya Mabingwa watetezi, Real Madrid. FT: Barcelona 1-0 Mallorca ⚽ 46’ Olmo MSIMAMO: LaLiga πŸ” 5️⃣ πŸ₯‡ Barcelona β€” mechi 33 β€” pointi 76 πŸ₯ˆReal Madrid β€” mechi 32 β€” pointi…

Read More

SIMBA KAMILI KIMATAIFA, TAMBO ZATAWALA

SIMBA SC itakuwa kibaruani kusaka ushindi dhidi ya Stellenbosch FC ni mchezo wa nusu fainali ya wababe wawili 2024/25 kimataifa wakiwa na rekodi yakumfungashia virago bingwa mtetezi kwenye mashindano ya kimataifa kwa nyakati tofauti. Aprili 20 2025 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa uwanja wa New Amaan Complex huku Simba SC ya Tanzania ikiwa na rekodi yakumfangashia…

Read More

SIMBA HESABU ZAKE KWA MKAPA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba katika Kombe la Shirikisho Afrika wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata ushindi kwenye mchezo wa pili wa robo fainali dhidi ya Al Masry unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ipo wazi kuwa kwenye mchezo wa robo fainali ya kwanza iliyochezwa Aprili 2 2025 Uwanja wa Suez Canal…

Read More