
SEVILLA WASEPA NA TAJI LA SABA LIGI YA EUROPA
KLABU ya Sevilla imefanikiwa kuongeza rekodi ya taji la saba la Ligi ya Europa baada ya kuwalaza Roma 4-1 katika mikwaju ya penalti kwenye Uwanja wa Puskas Arena mjini Budapest. Gonzalo Montiel huyu alifunga penalti ya ushindi kwa Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia, alifunga mkwaju huo wa kuamua. Wataalamu hao wa Ligi ya…