NEWCASTLE YATINGA TATU BORA

NEWCASTLE United wanaingia tatu bora wakiwa na pointi 50 baada ya kushinda dhidi ya Manchester United. Manchester wao wapo nafasi ya tatu wakiwa na pointi 50 wote wamecheza mechi 27. Kinara ni Arsenal ikiwa na pointi 72 wanawafuata Man City wakiwa na pointi 64 ila City wamecheza mechi 28. Mabao ya Newcastle United yalifungwa na…

Read More

TP MAZEMBE 0-0 YANGA

UWANJA wa TP Mazembe ubao unasoma TP Mazembe 0-0 Yanga ukiwa ni mchezo wa hatua ya makundi. Yanga wametinga hatua ya robo fainali tayari wanapambana kumaliza nafasi ya kwanza hatua ya makundi. TP Mazembe wao hawana cha kupoteza zaidi ya kutaka kulipa kisasi kwa mchezo ambao walipoteza Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Yanga 3-1 Yanga.

Read More

WAKONGWE WAMEGOMEA KUSTAAFU, WANAPIGA KAZI

MCHEZO wa soka la kisasa unakua kwa kasi na wanasoka wanaonekana kuwa wachanga kila wakati, lakini bado kuna nafasi kwa wahenga kuendelea kuchangia uzoefu wao. Pamoja na maendeleo ya mara kwa mara katika teknolojia na lishe, sasa imekuwa kawaida kwa wanasoka kucheza hadi mwisho wa miaka thelathini na hata hadi arobaini. Hapa kuna wachezaji ambazo…

Read More

MAN CITY YAICHAPA 4G LIVERPOOL

NI Jack Grealish alifunga kamba ya mwisho dakika ya 74 dhidi ya Liverpool,Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao mengine ni Mali ya Ilkay Gundogan dakika ya 53 Kevin De Bruyne dakika ya 46 na Julian Alvarez dakika ya 27. Mohamed Salah huyu alikuwa nyota wa kwanza katika kufunga bao kwenye mchezo…

Read More

SIMBA KUIVAA RAJA CASABLANCA LEO

MCHEZO wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Raja Casablanca ni leo Machi 31 nchini Morocco. Mchezo huo unachezwa Morocco ikiwa ni Machi 31 lakini Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi 2023. Ni mchezo wa mwisho hatua ya makundi kwa timu hizi mbili ambazo zote zimetinga hatua ya robo fainali. Simba inakumbuka mchezo…

Read More

SIMBA KAMILI KUIKABILI RAJA CASABLANCA

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ameidaa vizuri timu kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca ya Morocco. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa nchini Morocco Machi 31 saa 4:00 usiku kwa Afrika Mashariki hapa nyumbani Tanzania itakuwa ni Aprili Mosi saa 7:00 usiku. Miongoni mwa wachezaji ambao wapo…

Read More

MESSI AFANYA KWELI ARGENTINA

TIMU ya taifa ya Argentina inayonolewa na Kocha Mkuu,Lionel Scaloni imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 Curacao. Ni mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Unico Madre de Ciudades. Katika mchezo huo Lionel Messi ambaye ni nahodha alitupia kambani mabao matatu ilikuwa dakika ya 20,33,37. Nicolas Gonzalez dakika ya 23,Enzo Fernandez dakika ya 35,Angel Di Maria…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA STARS DHIDI YA UGANDA

UWANJA wa Suez Canal huko Ismailia Misri saa 11:00 jioni Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Uganda. Huu ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu Afcon 2023 kikosi hiki hapa kinachotarajiwa kuanza:- Aishi Manula Dickson Job Novatus Dismas Bakari Mwamnyeto Ibrahim Bacca Himid Mao Simon Msuva Mzamiru…

Read More

SABABU YA PROGRAM MAALUM KWA FEI

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa, Taifa Stars, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amepewa mazoezi maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo dhidi ya Uganda. Stars leo itakuwa mgeni wa Uganda kwenye Uwanja wa Suez Canal, mjini Ismailia nchini Misri ukiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu Afcon. Kumbuka Desemba mwaka jana…

Read More

STARS IMEANDALIWA VILIVYO, MTIHANI NI LEO

Na Saleh Ally, Ismailia TANGU siku ya kwanza ya kambi ya timu taifa hapa jijini Ismailia nchini Misri nimekuwa hapa nikishuhudia. Timu ya taifa ambayo ni mara ya kwanza kocha mpya anaanza kazi lakini inakwenda katika mechi muhimu sana dhidi ya Uganda, leo. Mechi ya kuwania kufuzu kuwania kucheza Afcon, itakuwa ni ngumu kwa kuwa…

Read More

KOCHA MAN U ANAMKUBALI MARTIAL

TEN Hag, Kocha Mkuu wa Manchester United ameweka wazi kuwa ana imani na mshambuliaji wake Anthony Martial. Mshambuliaji huyo hajawa kwenye mwendo bora ndani ya timu hiyo lakini kocha amekubali kazi yake. Nyota huyo mwenye miaka 27 amekuwa na msimu mbaya chini ya Ten Hag ambapo amekuwa na majeraha ya mara kwa mara akiwa amekosa…

Read More

STARS KAZINI LEO FEI APEWA PROGRAM MAALUM

KIUNGO wa Yanga na timu ya Taifa ya Tanzania Feisal Salum, Fei Toto amepewa program maalumu nchini Misri ili kurejea kwenye ubora wake. Mazoezi hayo ni maalumu kwa ajili ya kumuongezea fitinesi kuelekea kwenye mchezo wa leo Machi 24 dhidi ya Uganda. Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya Uganda Uwanja wa…

Read More

STARS KAMILI KUIKABILI UGANDA

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars Adel Amrouche amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa mchezo dhidi ya Uganda. Huo ni mchezo wa kufuzu AFCON dhidi ya Uganda utakaochezwa Machi 24, 2023 Uwanja wa Suez Canal, Ismailia, Misri. Kocha huyo amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huo wakiwa wapo imara…

Read More

BARCELONA WANAKIMBIZA LA LIGA

BARCELONA inaongoza La Liga ikiwa imekusanya pointi 68 baada ya kucheza mechi 26. Wanaofuata ni Real Madrid hawa nafasi ya pili na pointi zao kibindoni ni 56 wamecheza mechi 26. Mchezo wao walipokutana Uwanja wa Camp Nou Jumapili ya Machi 19, ubao ulisoma Barcelona 2-1 Real Madrid. Ni Sergi Roberto dakika ya 45 na Franck…

Read More