
PSG YAZIDI KUWEKA MZIGO, MADRID YAJIKITA NA HUIJSEN – JE, MAKOMBE YATAENDELEA?
Leo hii wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet tunaanganzia timu ambazo zimefanya usajili wa pesa pale LALIGA, EPL, BUNDESLIGA, LIGUE 1 pamoja na SERIE A. Na je kwako unaona ni usajili upi utaenda kufanya vizuri kwenye dirisha hili la usajili la 2025/26? BUNDESLIGA kule Ujerumani wababe wa ligi hiyo Bayern Munich wao msimu huu baada ya…