MECHI KALI ZINAENDELEA LEO BUNDESLIGA NA PRIMEIRA LIGA, MCHONGO UPO HAPA

Mechi kali zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Uingereza, CHAMPIONSHIP kitawaka vilivyo Sheffield United atakipiga dhidi ya Coventry City ambao mechi yao iliyopita wakishinda halikadhalika kwa mwenyeji naye aliondoka na ushindi. Mara ya mwisho kukutana…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA COASTAL UNION

UWANJA wa Sheikh Amri Abeid, Machi Mosi 2025 kikosi cha Simba kimekuwa na mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha kwanza ikiwa ni mchezo mzunguko wa pili. Hiki hapa kikosi ambacho kinatarajiwa kuanza dhidi ya Coastal Union hiki hapa:- Ally Salim David Kameta Nouma Chamou Hamza Jr Kagoma Yusuph Kibu Dennis Mavambo Mukwala Ahoua Mpanzu Akiba ni:-Abel,…

Read More

Early Payout Inaendelea Kumwaga Mpunga

Wikiendi ndio hii wale wanaobashiri kupitia mpira wa miguu wana fursa ya kutamba na kujipigia mkwanja kirahisi, Kwani chaguo linalotamba kwasasa la Early payout litakua kwenye michezo mingi itakayopigwa chaguo chaguo hili upige mkwanja wa kutosha kupitia Meridianbet. Meridianbet wamekuja na kitu kinaitwa early payout hii ikiwa na maana mshindi atahesabiwa pale tu timu ambayo…

Read More

FIFA YAIFUNGIA CONGO BRAZZAVILLE KUSHIRIKI SHUGHULI ZOTE ZA KISOKA

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki katika mashindano ya Kimataifa. FIFA ilifafanua kuwa imeamua kusitisha uanachama wa shirikisho la soka la Congo Brazzaville hadi itakapotangazwa tena, kutokana na kuingilia kati kwa Waziri wa michezo wa Congo,…

Read More

YANGA YAWAPIGIA HESABU WAARABU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi kwa Al Hilal ambao ni vinara…

Read More