
VILABU VYA AFRIKA VYATOLEWA KOMBE LA DUNIA LA VILABU 2025
Juni 26, 2025 – Timu za soka kutoka bara la Afrika zimehitimisha safari yao mapema katika michuano ya Kombe la Dunia la Vilabu 2025, baada ya kushindwa kuvuka hatua za awali dhidi ya wapinzani wao kutoka mabara mengine. Wawakilishi wa Afrika walikuwa ni Al Ahly (Misri), Wydad Casablanca (Morocco), Espérance de Tunis (Tunisia) na Mamelodi…