MERIDIANBET FOUNDATION YAADHIMISHA MIAKA MITANO YA MSAADA WA MASOMO NA UKUAJI WA TEKNOLOJIA

Meridianbet Foundation, taasisi ya kijamii chini ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI), imeadhimisha miaka mitano ya mpango wake wa kimataifa wa kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi katika masoko 17 duniani. Mpango huu umejikita katika kuimarisha elimu na kuwawezesha vijana kupata ujuzi wa kisasa katika nyanja za teknolojia na dijitali. Zaidi ya msaada wa kifedha,…

Read More

BEKI YANGA SC APATA DILI NONO

BEKI wa zamani wa Yanga SC Gift Fred ambaye alishindwa kupata namba kikosi cha kwanza na kupewa Thank You anatajwa kupata dili nono kwa ajili ya changamoto mpya. Gift Fred anakaribia kujiunga na Klabu ya KCCA ya nchini Uganda katika msimu ujao wa 2025/26 kwa ajili ya kutimiza majukumu yake. Gift anakwenda kujiunga na KCCA…

Read More

PYRAMIDS FC MABINGWA WAPYA AFRIKA

Mamelodi Sundowns wamekuwa washindi wa pili mbele ya Pyramids FC ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Pyramids FC ya Misri ni mabingwa wapya Afrika ikipata ushindi mbele ya Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini kwenye fainali ya pili. Kwenye fainali nyota Fiston Mayele mshambuliaji wa zamani wa Yanga SC, Juni Mosi wakati wakishinda mabao…

Read More

AZIZ KI AMEANZA KAZI NA TIMU MPYA

KIUNGO mshambuliaji mpya ndani ya kikosi cha Wydad Casablanca, Aziz Ki tayari ameanza mazoezi na timu hiyo mara baada ya kumtambulisha. Ikumbukwe kwamba Ki aliibuka ndani ya timu hiyo akitokea kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Mchezo wa mwisho akiwa na uzi wa Yanga SC ilikuwa dhidi ya JKT Tanzania ambao…

Read More

HII HAPA RATIBA YA PREMIER LEAGUE

NI Jumamosi ya kazikazi Aprili 26 2025 kuna mechi kali ambazo zinatarajiwa kuchezwa ndani ya Premier League kwa wababe kuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu. Miongoni mwa timu hizo ikiwa ni wiki ya 34 ni Chelsea ambayo ipo nafasi ya sita kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 57 itakuwa kazini kumenyana na Everton iliyo nafasi ya…

Read More

SERIKALI INA MATUMAINI KWA SIMBA SC KIMATAIFA

NAIBU Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma amebainisha kuwa ana matumaini ya kuona Simba SC inapatata matokeo mazuri kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika unaotarajiwa kuchezwa Afrika Kusini, Aprili 27 2025. Simba SC inakumbuka kwamba mchezo uliochezwa Tanzania ilipata ushindi wa bao 1-0 likifungwa na Jean Ahoua inakibarua cha kusaka ushindi wa…

Read More