Cheza Wild White Whale Ujishindie mizunguko ya Bure Kila Siku

Katika anga ya michezo ya kubashiri, Meridianbet inaendelea kuthibitisha kuwa ni mwamba usiotetereka. Kwa sasa, inakuletea promosheni kabambe kupitia mchezo wa kasino unaotikisa wa Wild White Whale. Ni promosheni ya mwezi mzima iliyoanza tarehe 01 na itaisha tarehe 31 mwezi Septemba ikiwa imesheheni ushindi na zawadi za papo hapo. Kila mteja aliyesajiliwa na Meridianbet ana…

Read More

ANAONDOKA YANGA SC KIUNGO WA KAZI AZIZ KI

INAELEZWA kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Aziz Ki anasepa mazima ndani ya kikosi hicho baada ya kupata ofa kutoka Wydad ambayo inahitaji huduma yake. Taarifa zinaeleza kuwa kuna uwezekano mkubwa kiungo huyo akaondoka mapema kujiunga na timu mpya kwa ajili ya changamoto mpya. Ki…

Read More

VIDEO: RICARDO MOMO NA SAKATA LA KARIAKOO DABI

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo Bongo, Ricardo Momo ameweka wazi kuwa kuhusu Kariakoo Dabi sheria ifuatwe tu kutokana na yale ambayo yalitokea. Huku akibainisha kuwa kulikuwa na malalamiko kutoka Simba SC ambao nao walibainisha kuwa hawatacheza mechi zao zote majibu yanapaswa kupatiwa na bodi ya ligi taarifa yao iliyotolewa na Yanga SC nao wana malalamiko…

Read More

ISHU YA KIPA BORA YANGA SC YAMALIZA UTATA

UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa uwepo wa Djigui Diarra ambaye ni kipa namba moja kwenye timu hiyo kunaongeza somo kwa timu nyingine kutambua namna gani mlinda mlango bora anakuwa. Diarra msimu wa 2024/25 ni namba mbili kwa makipa ambao wamekusanya hati nyingi safi, (clean sheet) akiwa nazo 15 kinara ni kipa wa Simba SC,…

Read More