Ratiba ya Mechi za Mtoano AFCON 2026

Januari 3, 2026 19:00 – Senegal 🇸🇳 vs Sudan 🇸🇩 22:00 – Mali 🇲🇱 vs Tunisia 🇹🇳 Januari 4, 2026 19:00 – Morocco 🇲🇦 vs Tanzania 🇹🇿 22:00 – South Africa 🇿🇦 vs Cameroon 🇨🇲 Januari 5, 2026 19:00 – Egypt 🇪🇬 vs Benin 🇧🇯 22:00 – Nigeria 🇳🇬 vs Mozambique 🇲🇿 Januari 6, 2026…

Read More

Rais Samia: Nafasi ya Waziri Mkuu si ya ndugu wala rafiki, ni ya Watanzania – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, kutumia nafasi aliyopewa kuwatumikia Watanzania wote bila upendeleo wa aina yoyote. Akizungumza leo Novemba 14, 2025 jijini Dodoma wakati wa hafla ya kumuapisha Dkt. Mwigulu, Rais Samia alisema nafasi hiyo ni ya kitaifa na siyo ya marafiki, ndugu…

Read More