Ratiba ya Mechi za Mtoano AFCON 2026

Januari 3, 2026 19:00 – Senegal 🇸🇳 vs Sudan 🇸🇩 22:00 – Mali 🇲🇱 vs Tunisia 🇹🇳 Januari 4, 2026 19:00 – Morocco 🇲🇦 vs Tanzania 🇹🇿 22:00 – South Africa 🇿🇦 vs Cameroon 🇨🇲 Januari 5, 2026 19:00 – Egypt 🇪🇬 vs Benin 🇧🇯 22:00 – Nigeria 🇳🇬 vs Mozambique 🇲🇿 Januari 6, 2026…

Read More

Rais Samia: Nafasi ya Waziri Mkuu si ya ndugu wala rafiki, ni ya Watanzania – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemtaka Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, kutumia nafasi aliyopewa kuwatumikia Watanzania wote bila upendeleo wa aina yoyote. Akizungumza leo Novemba 14, 2025 jijini Dodoma wakati wa hafla ya kumuapisha Dkt. Mwigulu, Rais Samia alisema nafasi hiyo ni ya kitaifa na siyo ya marafiki, ndugu…

Read More

Matokeo Darasa la Saba 2025 Yatangazwa Yapo HAPA, Asilimia 81.8 ya Watahiniwa Wamefaulu

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed, ametangaza rasmi matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (MTEM) 2025 katika hafla iliyofanyika leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa hiyo inaonesha kuwa kati ya watahiniwa 1,146,164 waliojihusisha na mtihani huo, watahiniwa 937,581 sawa…

Read More