MERIDIANBET WASAIDIA MAMA NTILIE WA MWENGE

Katika dunia ya leo inayohitaji mshikamano wa kijamii na mshikamano wa kiuchumi, kampuni ya Meridianbet imeendelea kudhihirisha dhamira yake ya kweli ya kusaidia jamii kwa vitendo. Kwa mara nyingine tena, Meridianbet imejitokeza kuwa bega kwa bega na wanawake wa Kitanzania kupitia zoezi la ugawaji wa aprons kwa mama ntilie maeneo ya Mwenge. Meridianbet siku zote…

Read More

Shindano Jipya la Kasino, Ingia Ulimwenguni Wa Zombie Apocalypse

Meridianbet, kwa ushirikiano na Expanse Studios, wamezindua promosheni mpya ya kuvutia iitwayo Zombie Apocalypse, inayowaalika wachezaji kuingia katika ulimwengu wa kusisimua wa mapambano dhidi ya mazombi, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu pamoja na fursa za kushinda za kipekee. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Agosti 2025, promosheni ya Zombie Apocalypse inawapa wachezaji changamoto ya kushiriki katika mchezo…

Read More

Slotopia, Mtoa Huduma Mpya Aliyeleta Mzuka Mpya Meridianbet

Meridianbet wamefanya yao tena. Kama ulikuwa ukidhani wameshatufurahisha vya kutosha kwa promosheni na michezo yao ya kuvutia, basi subiri kidogo, kuna jipya limeingia, na ni burudani isiyojulikana mpaka uijaribu mwenyewe. Mtoa huduma mpya wa michezo ya kasino mtandaoni, Slotopia, sasa amewasili rasmi kwenye jukwaa la Meridianbet na ameleta mzigo mzito wa michezo ya kisasa yenye kila aina ya…

Read More

FURSA YA KUTOKA NDOTO HADI KUIMILIKI SAMSUNG A25

Nilikuwa nimezoea kuona matangazo mengi ya promosheni mitandaoni. Kwa kweli, sikuwahi kuyachukulia kwa uzito. Lakini mwezi huu wa Julai, kitu kimoja kimenivutia, Meridianbet wametangaza zawadi ya simu mpya aina ya Samsung A25 kwa wateja wanaojiunga na kucheza michezo yao. Hapo ndipo nilipoamua kusema, “Kwanini nisijaribu?” Safari yangu imeanza kwa kusajili akaunti yangu kupitia app ya…

Read More

ALI KAMWE, ASHANGAZWA NA MAUNO YA BONGE LA DADA

Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, ameonyesha kushangazwa na mauno ya Queen Fraison maarufu kama Bonge la Dada, kupitia video iliyosambaa mtandaoni. Kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii, Kamwe aliandika kwa utani: “Bora mimi nilikuwa naangalia nywele…” 😂😂😂😂 Kauli hiyo imeibua vicheko na mijadala miongoni mwa mashabiki, huku wengine wakiongeza maneno yao…

Read More