Saleh

ALLY KAMWE ATANGAZA BOMU JIPYA YANGA – MC ALGERS WAMEKULA NYOYA – AFICHUA SIRI za NDANI za TIMU- VIDEO

Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe amefunguka na kueleza kuwa walitegemea wapinzani wao MC Alger walitarajiwa kufika asubuhi ila hawajafika. “Hakuna kiumbe hai yeyote anayetudai Yanga tumelipa madeni wachezaji na makocha wanaotudai, tumefunguliwa kusajili” Ali Kamwe. “Taarifa ambazo tunazo ni kuwa wapinzani wetu walipaswa kuingia nchini alfajiri ya kuamkia leo, lakini mpaka…

Read More

CARABAO CUP NA SPANISH SUPER CUP LEO KITAWAKA

Siku ya kunyakua mamilioni leo kupitia michezo mbalimbali ambayo itapigwa katika ligi kuu mbalimbali duniani ikiwemo Uingereza, Italia, pamoja na Ujerumani, Meridianbet wao kuhakikisha unapiga kitita wameweka Odds bomba kwenye michezo hiyo kazi imebaki kwako. Pale ligi kuu ya Uingereza itapigwa michezo kadhaa, ligi kuu ya Ujerumani halikadhalika itapigwa michezo kadhaa, bila kusahau ligi kuu…

Read More

SIMBA WANAPIGIA HESABU NAFASI HII ANGA LA KIMATAIFA

FADLU Davids, mpanga ramani wa kikosi cha Simba ambaye ni Kocha Mkuu amesema kuwa baada ya kufanikisha malengo ya kutinga hatua ya robo fainali kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, sasa hesabu ni kuona wanashinda mchezo ujao Uwanja wa Mkapa. Simba imefikisha pointi 10 kwenye kundi A baada ya kucheza mechi 5 mchezo wake uliopita ilipata…

Read More

AZAM FC NA SAINI YA FEI TOTO WAZUA JAMBO

WAKATI kiungo Feisal Salum maarufu kama Fei Toto akiwa anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Simba na Yanga, uongozi wa Azam FC umezua jambo kimtindo kuhusu usajili wa nyota huyo. Ipo wazi kwamba Feisal ni namba moja kwa watengeneza pasi za mwisho ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na NBC ikiwa ni…

Read More

CAF YAIFUNGIA SIMBA KUINGIZA MASHABIKI JUMAPILI

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeifungia klabu ya Simba Sc kuingiza mashabiki kwenye mechi yao ya mwisho ya hatua ya Makundi ya kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Constantine Jumapili hii Januari 19, 2025. Hii ni kutokana na vurugu zilizotokea kwenye mchezo dhid ya SC Sfaxien ya Tunisia uliopigwa Desemba 2024 hvyo mechi dhid ya…

Read More

SIMBA YAKUTANA NA RUNGU ZITO KUTOKA CAF

HABARI ambayo haitapokelewa kwa shangwe na mashabiki wa soka Bongo kutoka Ligi namba sita kwa ubora Afrika ni hii inayohusu Klabu ya Simba. Taarifa rasmi kutoka Simba iliyotolewa na Kaimu Ofisa Mtendaji wa Simba Zubeda Sakuru imeeleza kuwa timu hiyo imepokea maamuzi kutoka Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika, (CAF) kuhusu vurugu zilizotokea kwenye…

Read More

UFAHAMU USIKU WA MAAJABU MERIDIANBET KASINO

Karibu tena kwenye jukwaa la kasino ya mtandaoni, ambapo Meridianbet inakupa fursa ya kufurahia mchezo wa kubashiri wenye utamaduni wa Wahindi wekundu ambao baadae walikuwa ni Wamarekani (Red Indians). Kaa mkao wa shangwe kukutana na Mlimbwende wao ambaye anaweza kukupatia bonasi za kasino za kipekee. “Goddess Of The Night” ni mchezo wa sloti wa kasino…

Read More

NGASSA MRISHO KUCHEZESHA DROO YA CHAN 2024

MFUNGAJI Bora wa muda wote wa Timu ya taifa, Taifa Stars Mrisho Khalfan Ngassa yupo nchini Kenya ambaye yeye ni kati watu watakaochezesha droo ya upangaji wa Makundi ya michuano ya Chan mwaka 2024. Kwa Mujibu wa Ngassa alipata mwaliko huo hivi karibuni kutoka Caf, ikimtaka kuwepo katika uchezeshaji wa droo hiyo itafanyika Kenya kesho…

Read More

YANGA YAWAPIGIA HESABU WAARABU KWA MKAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya MC Alger unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Yanga imetoka kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Hilal ikiandika rekodi ya kuwa timu ya kwanza kupata ushindi kwa Al Hilal ambao ni vinara…

Read More

CHE MALONE AWAOMBA RADHI MASHABIKI WA SIMBA

Beki wa kimataifa kupitia ukurasa wake wa Instagram leo Januari 14, 2025 amewaomba radhi mashabiki wa Simba na wadau wa soka kutokana na makosa aliyoyafanya likiwemo lililoigharimu Simba Januari 13, 2025 nchini Angola dhidi ya Bravos. Kwenye mchezo huo, Simba ilipata sare ya 1-1 na kuipa nafasi ya kufuzu hatua ya robo fainali. Malone ameandika:…

Read More