
REKODI YA DTB YATIBULIWA NA GREEN WARRIORS
BAADA ya kucheza mechi 16 bila kupoteza ambazo ni dakika 1,440 Klabu ya DTB ilinyooshwa bao 1-0 dhidi ya Green Warriors FC ambao waliweza kutibua rekodi hiyo katika mchezo wa 17 uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa ni Februari 13 kwenye Championship. Wakati huu inajipanga kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya African Sports unaotarajiwa…