
SIMBA MNA KAZI YA KUFANYA KIMATAIFA,ISHU YA MASHABIKI IFANYIWE KAZI
HATUA kubwa ambayo mmefanya kwa ushindi kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Mkapa mnastahili pongezi wawakilishi wa Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho. Simba hamjafanya jambo dogo kwa kushinda mabao 3-1 dhidi ya ASEC Mimosas Uwanja wa Mkapa hakika mnastahili pongezi lakini ukweli ni kwamba kazi ndiyo kwanza inaanza. Vigongo ambavyo vinakuja kwenu ni vikubwa na…