>

Saleh

NYOTA HAWA WA SIMBA KUIKOSA NAMUNGO KESHO

MAMBO yanazidi kuwa magumu kwa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kutokana na kuanza kwa mwendo wa kusuasa msimu wa 2021/22 jambo ambalo linapoteza tabasamu kwa mashabiki wa timu hiyo. Ikiwa ipo kwenye maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo, kesho Novemba 4, Uwanja wa Mkapa kuna orodha ya…

Read More

YANGA:HATUPOI, MWENDO ULEULE

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Nasreddine Nabi raia wa Tunissia amesema kuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa leo Novemba 3, Uwanja wa Mkapa.   Manara amebainisha kwamba kikubwa ambacho wanahitaji ni kuendelea na kasi yao ileile ya kucheza na kushinda…

Read More

RUVU YAPANIA KUTIBUA REKODI YA YANGA KWA MKAPA

KUELEKEA mchezo wa leo dhidi ya Yanga, Ruvu Shooting wamefunguka kuwa watatibua rekodi ya Yanga ya kutofungwa kwenye mechi walizocheza kwa msimu huu.   Saa 12:15 leo Yanga wanatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Ruvu Shooting mchezo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki na wapenda burudani. Kocha Msaidizi wa Ruvu Shooting,Rajab…

Read More

GEITA GOLD WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KUELEKEA kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara kati ya Azam FC dhidi ya Geita Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex uongozi wa Geita Gold umeweka wazi kuwa unahitaji pointi tatu kwenye mchezo huo. Akizungumza na Saleh Jembe, Felix Minziro,  Kaimu Kocha Mkuu wa Geita Gold amesema kuwa waliwatazama Azam FC katika mechi…

Read More

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

VIVIER Bahati,  Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao dhidi ya Yanga matokeo wamesahahu hivyo hesabu zao ni kupata ushindi mbele ya Geita Gold ambao nao wamebainisha kuwa wanahitaji ushindi. Azam FC imetoka kuambulia kichapo cha mabao 2-0 dhidi ya Yanga, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa inatarajiwa kucheza…

Read More

MRITHI WA MIKOBA YA GOMES SIMBA HUYU HAPA

IMEELEZWA kuwa Rhulani Mokwena ni moja ya makocha ambao wanapewa chapuo la kuibuka ndani ya kikosi cha Simba.   Kocha huyo ambaye anaifundisha Mamelodi Sundowns anaweza kuja kuchukua mikoba ya Didier Gomes ambaye alibwaga manyanga. Mbali na jina la Mokwena pia Mserbia Milovan Cirkovic na Zdravko Logarusic pamoja na Josef Zinnbauer kocha wa zamani wa…

Read More

CONTE KUSAINI DILI JIPYA LEO TOTTENHAM

ANTONIO Conte anatarajiwa kusaini dili jipya leo Jumanne ili kuweza kuwa Kocha Mkuu wa Tottenham. Conte anakwenda kuchukua mikoba ya Nuno Espirito ambaye alichimbishwa mazima jana Novemba Mosi. Espirito alifungashiwa virago kutokana na mwendo mbovu wa timu hiyo ambapo kwenye mechi zake sita za Ligi Kuu England alipoteza mechi nne. Kichapo cha mabao 3-0 dhidi…

Read More

LWANDAMINA BADO YUPOYUPO SANA AZAM

LICHA ya kuwa na matokeo mabaya msimu huu Kocha Mkuu wa Azam FC, George Lwandamina ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja wa kuzidi kukinoa kikosi hicho. Lwandamina alijiunga na Azam msimu uliopita baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu Mromania, Aristica Cioaba.   Mpaka sasa Azam imecheza mechi nne za ligi huku akishinda moja dhidi ya…

Read More

NYOTA WATATU NDO IMEISHA HIVYO AZAM FC

IMEFAHAMIKA kuwa Azam FC huenda ikaachana na wachezaji wake watatu Suire Boy, Aggrey Morris na Mudathiri Yahaya katika usajili wa dirisha dogo msimu huu.   Taarifa ya Azam iliyotolewa hivi karibuni ilisema kuwa wachezaji hao wameonesha utovu wa nidhamu kwa Meneja wa timu, Jackson Kakolaki, wachezaji wenzao, benchi la ufundi na viongozi kwenye vyumba vya…

Read More

MASTAA YANGA WAOGA MINOTI,ISHU YA MGOMO IPO HIVI

 BAADA ya Alhamisi ya Oktoba 28 kusambaa kwa taarifa kwamba mastaa wa Yanga wamepanga kufanya mgomo kushinikiza malipo yao ya bonasi, hatimaye mambo yamewekwa sawana sasa ni full kicheko kwao. Ishu ipo hivi; Alhamisi ya Oktoba 28, 2021, habari kubwa ilisomeka; “Kisa bonasi…Mastaa Yanga watangaza mgomo ilikuwa ni ndani ya Spoti Xtra Alhamisi kisha baadaye stori hiyo ikasambaa kwenye mitandao ya…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

NOVEMBA 2,2021 Ligi Kuu Tanzania Bara inazidi kushika kasi ambapo ushindani umekuwa mkubwa tofauti na msimu uliopita. Leo viwanja viwili vitakuwa na burudani tosha kwa mashabiki wao huku wachezaji wakionyesha kile ambacho wamefundishwa na makocha wao katika muda wa maandalizi. Ni mchezo kati ya Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 12 kwenye msimamo wa…

Read More

ORODHA YA WANAOWANIA TUZO ZA SIMBA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo Novemba Mosi,2021 wameachia orodha ya wachezaji wao ambao wanawania tuzo ya mchezaji bora. Ni Mchezaji Bora wa Mashabiki ambaye anasakwa kwa mwezi Oktoba  na tuzo hiyo inadhaminiwa na Emirate Aluminium ACP. Wanaowania tuzo hiyo kubwa kutoka kwa mashabiki ambao watapigiwa kura ni pamoja na kiungo wa kazi…

Read More

HAJI MANARA AWAIBUA WAZAWA WA KAZI CHAFU

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo wazawa wengi ambao wanafanya vizuri ndani ya kikosi cha Yanga ikiwa ni pamoja na Dickson Job, Kibwana Shomari pamoja na Feisal Salum. Nyota hao kwa sasa wana uhakika wa namba kikosi cha kwanza ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Nasredddine Nabi  huku nahodha akiwa ni mzawa pia…

Read More