MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamisi
UONGOZI wa Biashara United umetangaza benchi jipya la ufundi kwa ajili ya kumaliza mechi nne za msimu 2021/22. Ni Vivier Bahati ambaye alikuwa kocha mkuu, msaidizi wake Daddy Gilbert na meneja Frank Wabale hawa wote wamefutwa kazi. Kocha Mkuu ni Khalid Adam atakuwa kocha Mkuu wa Biashara United ambayo inapambana kushuka daraja kwa sasa. Kwa…
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars inayonolewa na Kocha Mkuu,Kim Poulsen leo Juni 8,2022 imeambulia kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Timu ya Taifa ya Algeria katika mechi ya pili ya kufuzu kushiriki fainali za mataifa ya Afrika AFCON zinazotarajiwa kufanyika 2023 nchini Ivory Coast. Ndani ya dk 40 Stars iliweza kujilinda lakini makosa…
BAYERN Munich wanajiandaa kuwasilisha ofa ya pili ya dau la pauni milioni 30, kwa ajili ya kukamilisha usajili wa staa wa kimataifa wa Liverpool raia wa Senegal, Sadio Mane mara baada ya Liverpool kukataa ofa ya kwanza na sasa wanataka pauni milioni 42.5. Sportsmail limeripoti kuwa Liverpool ilitupilia mbali ofa ya kwanza ya Bayern ya…
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya England, Gareth Southgate amekiri kuwa kwenye mtego wa kupata ugumu wa kuchagua wapigaji wa penalti kwenye kikosi chake kutokana na hofu kubwa ya baadhi ya nyota wa kikosi hicho kukumbana na masuala ya ubaguzi wa rangi. Bukayo Saka, Marcus Rashford na Jadon Sancho wote walifanyiwa ubaguzi mbaya mtandaoni…
Manchester, England MABINGWA wa Ligi Kuu England, Manchester City wametajwa kuwa wanafuatilia kwa karibu mustakabali wa staa wa Arsenal, Bukayo Saka katika kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake ili kuona uwezekano wa kumng’oa mchezaji huyo kutoka Emirates. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool wote wanamtazama staa huyo wa Arsenal…
MARA baada ya Yanga kutangaza kuachana rasmi na Said Ntibazonkiza ‘Saido’, mashabiki na wadau wengi wa soka walishitushwa na taarifa hiyo wengine hawakuamini kabisa kilichotokea. Hii inatokana na jinsi gani Saido alikuwa na mchongo mkubwa ndani ya timu hii ndio iliwafanya watu wawe wagumu kuamini. Mashabiki wa Yanga na wengine ambao sio wa timu hiyo…
NDANI ya Ligi Kuu Bara kuna wakali wa kucheka na nyavu ambao wanatimiza majukumu yao katika timu zao. Ni George Mpole mali ya Geita Gold huyu ni mzawa mwenye mabao mengi kwa msimu huu akiwa ametoa pia pasi tatu za mabao. Mpole kahusika kwenye mabao 17 kati ya 26 ambayo yamefungwa na timu hiyo inayonolewa…
SEPP Blatter na Michel Platin ni majina makubwa katika soka ambao kwa pamoja leo wanaingia mahakamani kuendelea kujibu mashtaka ya kujihusisha na rushwa enzi za utawala wao. Blatter na Platin wanashitakiwa kwa kosa la kuhamisha zaidi ya kiasi cha Euro milioni 1.6 mwaka 2011 kinyume na utaratibu kutoka akaunti ya benki ya Blatter kwenda Platin…
IMEELEZWA kuwa mabingwa wa Ligi Kuu England, Manchester City wanahitaji saini ya staa wa Arsenal, Bukayo Saka katka kipindi cha miaka miwili ya mwisho ya mkataba wake. City wanahitaji kumpata nyota huyo ili aweze kuondoka ndani ya kikosi cha Arsenal kinachonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta. Inaelezwa kuwa City pamoja na wapinzani wao wakubwa Liverpool…
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi jana kiliibuka na ushindi wa mabao 8-0 Friends Rangers katika mchezo wa kirafiki. Mabao ya Yanga yalifungwa na kiungo Dennis Nkane ambaye alitupia kamba mbili, Fiston Mayele alitupia kambani mara moja mzee wa kuwajaza Heritier Makambo yeye alitupia kamba mbili. Mshambuliaji chipukizi wa timu hiyo Yusuph…
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen amesema wataingia kwa kuwaheshimu wapinzani wao Algeria kwa kuwa ni timu imara na ina uzoefu mkubwa. Poulsen amebanisha kuwa kwa ubora walionao Algeria ni wazi Tanzania inatakiwa kuingia uwanjani ikiwa na mpango maalum kwa kuwa timu hiyo ni imara kwenye umiliki wa mpira….
MKURUGENZI Mtendaji wa Klabu ya Yanga, Senzo Mbatha Mazingiza amesema kupitia mfumo wa kidigitali wa mabadiliko ya Klabu ya Yanga ulioasisiwa mapema mwaka huu klabu hiyo imeingiza zaidi ya Bilioni moja za kitanzania. Senzo amebainisha kuwa kwa msimu wa mwaka 2019 Yanga ilikusanya zaidi ya kiasi cha milioni 9 kupitia pesa za usajili wa wanachama,…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unatarajia kumaliza mchakato wa kupitia maombi na kumchagua kocha mpya wa kikosi hicho katika kipindi cha wiki mbili ambazo ni sawa na siku 14. Simba Mei 31, mwaka huu walitangaza rasmi kufikia makubaliano ya kuachana na kocha wao, Pablo Franco na kocha wa viungo, Daniel Castro, kwa kile kilichoelezwa…
KUNA mkataba wa staraika Mzambia umenaswa na GSM ni ndani ya gazeti la Championi Jumatano
KIUNGO mchezeshaji wa Yanga, Salum Aboubakari ‘Sure Boy’ amekiri kukutana na ushindani mkubwa wa namba ndani ya kikosi hicho, lakini kamwe hatakubali kukaa benchi na badala yake atapambania nafasi yake. Staa huyo amekutana na ushindani wa namba wa viungo kutoka kwa Mganda, Khalid Aucho, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Yannick Bangala na Zawadi Mauya. Sure Boy…