TUZO YA SAKHO YAZUA BALAA AFRIKA,AZIZ KI WAWEKEWA MTEGO KAMBINI
TUZO ya Sakho yazua balaa Afrika,Aziz KI,Morrison wawekewa mtego kambini Yanga SC ndani ya Championi Jumamosi
TUZO ya Sakho yazua balaa Afrika,Aziz KI,Morrison wawekewa mtego kambini Yanga SC ndani ya Championi Jumamosi
KIUNGO mshambuliaji wa Manchester City, Jack Grealish ametabiri kuwa mshambuliaji mpya wa timu hiyo Erling Haaland hatakamatika katika msimu wake wa kwanza ndani ya Premier. Nyota huyo mwenye miaka 22 ameonekana kuwa karibu sana na Grealish baada ya kujiunga na kikosi hicho akiwa kwenye wiki ya kwanza ya mazoezi nchini Marekani. ‘Erling anaonekana yupo vizuri…
HAJI Manara,Ofisa Habari wa Yanga baada ya kufungiwa kujihusisha na masuala ya soka kwa miaka miwili pamoja na faini ya milioni 20 ameweza kutoa shukrani
Kikosi cha Azam FC leo Julai 22 kimeelekea Misri kwa ajili ya kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu Bara pamoja na mashindano mengine ikiwa ni pamoja na Kombe la Shirikisho na kitaweka kambi jijini El Gouna, Misri kwa siku 20. Kabla ya kukwea pia kuelekea Misri Azam FC wao walianza kambi ya ndani kwa ajili…
AGOSTI 8,2022 Simba inatarajiwa kucheza Simba Day ambapo inatarajiwa kucheza na Klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, Uwanja wa Mkapa
MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Yanga leo wanaanza kambi yao rasmi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Yanga chini ya Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi inaanza kambi hiyo ya ndani baada ya ule mpango wa kuweka kambi yao nchini Tunissia kusitishwa. Awali kambi yao ilitarajiwa kuwa nchini Tunissia lakini kutokana na sababu mbalimbali ikiwa ni…
WAKATI wa maandalizi kwa ajili ya msimu mpya kwa sasa ni lazima yaanze hasa ukizingatia kwamba Agosti ni ligi inatarajiwa kuanza. Ukweli ni kwamba kwa sasa wapo ambao wapo kambini na wengine hawajaanza kambi yote ni mipango ambayo inawekwa na kila mmoja ambaye ni kiongozi. Acha hayo kuna suala limekuwa lizizungumzwa kuhusu wapi kambi inapaswa…
KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Kim Poulsen amesikitishwa na kitendo cha Mamlaka za soka kuinyima ruhusa timu hiyo ya Taifa kupata nafasi ya kufanya mazoezi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Poulsen amebainisha kuwa anajisikia vibaya na anshindwa kuelewa dhana ya kuinyima timu ya taifa faida ya kufanya mazoezi na maandalizi ya…
RASMI leo Julai 22 Simba imemtambulisha beki mpya ambaye atakuwa kwenye kikosi chao kwa msimu wa 2022/23 katika mashidano ya kitaifa na kimataifa akichukua mikoba ya Pascal Wawa ambaye aliachwa rasmi na Simba. Simba wenyewe wamemuita beki kisiki wa kuzuia mipira ya juu na chini, beki bora na mwenye uwezo wa kucheza kwenye kikosi chao…
BAYERN Munich inatajwa kuwania saini ya Harry Kane ambaye anacheza ndani ya Spurs inayoshiriki Ligi Kuu England. Kane mkataba wake ndani ya Spurs umebakiza miaka miwili hivyo ikiwa watakuwa wanahtaji saini yake wanapaswa kuvunja mkataba wake mazima. Nyota huyo ana umri wa miaka 28 aliletwa duniani mwaka 1994 hivyo bado ana umri wa kuendelea kupambana…
ALIOU Cisse, amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwaka na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Aliou Cisse, 46, aliiongoza Senegal kushinda kombe lao la kwanza la Mataifa ya Afrika nchini Cameroon, mapema mwaka huu, baada ya kuishinda Misri kwa mikwaju ya penalti. Pia ameiongoza Simba wa Teranga kufuzu kwa Kombe la Dunia nchini Qatar mwaka huu…
Simba mpya unyama mwingi,Yanga yatua Kigamboni ndani ya Champion Ijumaa
HATIMAYE staa wa Simba na raia wa Senegal,Pape Sakho bao lake alilofunga mbele ya ASEC Mimosas limeweza kupenya na kuwa bao bora la CAF. Hatua hiyo imekuja baada ya mchujo mkali kwa kupitia kura na Julai 21 aliweza kutangazwa mshindi kwa kuwashinda washindani wake ambao aliingia nao tatu bora. Baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo nchini…
OFISA Habari wa Yanga, Haji Manara amepewa adhabu ya kufungiwa miaka miwili leo Julai 21. Adhabu hiyo imetokana na makosa ambayo amekutwa nayo kwenye Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania. Mbali na kufungiwa miaka miwili pia Manara amepewa adhabu ya kutoa faini ya shilingi milioni 20. Baada ya adhabu hiyo,Haji Manara ametoa kauli…
MZEE wa mikato ya kimyakimya,kiungo mgumu ndani ya Simba, Sadio Kanoute huenda akauzwa ili apate changamoto mpya. Inaelezwa kuwa kiungo huyo amepata dili kutoka kwa timu za nje ambazo zinahitaji saini yake ikiwa ni pamoja na zile za nyumbani kwao Mali pamoja na Afrika Kusini. Kaizer Chiefs inatajwa kuwa miongoni mwa timu ambazo zinahitaji saini…
ABDIHAMID Moallin, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wanatarajia kucheza mechi nyingi za kirafiki nchini Misri ambapo wataweka kambi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Kesho Ijumaa,Julai 22 kikosi cha Azam FC kinatarajia kukwea pipa kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya siku 20. Kocha huyo ameweka wazi kuwa program ambazo alianza…
AZIZ KI apewa mtaalam Yanga,Zoran akabidhiwa rungu zito Simba