MERIDIANBET WAWATEMBELEA BODA BODA, WAWAPA UJUMBE USALAMA NI MUHIMU
Meridianbet Tanzania wameendelea na utaratibu wao wa kuwa karibu na jamii, kwa kutoa sapoti kwa vijana katika shughuli zao za kuutafuta mkate wa kila siku. Tumu ya Meridianbet, wikiendi iliyopita iliwatembelea boda boda na kuwaunga mkono katika shughuli zao za utafutaji kwa kuhakikisha wanakuwa salama. Ikiwa ni muendelezo wa kugawa nyenzo za usalama wa boda…