Saleh

MAANDALIZI MUHIMU KWA SERENGETI GIRLS

KUWEZA kufuzu Kombe la Dunia ni hatua moja muhimu na kuweza kufanya maandalizi mazurini hatua ambayo inahitajika kuweza kufanyika kwa sasa. Tunaona kwamba Serengeti Girls ambayo ni Timu ya Taifa ya Wasichana chini ya miaka 17 ina kibarua cha kufanya kimataifa. Kombe la Dunia lipo njiani ambapo inatarajiwa kuweza kufanyika nchini India kuanzia Oktoba 11-30…

Read More

HAJI MANARA NA INJINIA WAITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI

KITENDO cha kuibuka Uwanja wa Mkapa,Agosti 6,2022 na kuwatambulisha wachezaji, Haji Manara aliyekuwa msemaji wa Yanga akiwa kifungoni kimemrejesha kwa mara nyingine Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF). Ikumbukwa kwamba Manara alifungiwa miaka miwili na hakupaswa kushughulika na masuala ya mpira kwa muda huo.  Pia Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said naye…

Read More

JONAS MKUDE NI MKALI WAO SIMBA,ANASTAHILI PONGEZI KIDOGO

KWENYE tamasha la leo la Simba Day ambalo linatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa kwa mastaa wa Simba kuna Legend mmoja anaitwa Jonas Mkude. Kiungo huyo anastahili heshima kutokana na kudumu ndani ya kikosi hicho kwa muda mrefu akiwa ni mchezaji pekee ambaye amedumu hapo tangu alipopandisha msimu wa 2011/12 kutoka Simba B. Mastaa wengine wote…

Read More

PITSO:YANGA INAHITAJI MUDA KUWA IMARA

KOCHA mwenye uzoefu mkubwa Afrika raia wa Afrika Kusini ambaye aliweza kubwaga manyanga ndani ya Klabu ya Al Ahly ya Misri,Pitso Mosimane amesema kuwa Klabu ya Yanga ina wachezaji bora lakini wanahitaji muda kuwa imara. Pitso alikuwepo kwenye Tamasha la Wiki ya Mwananchi,Agosti 6,2022 alishuhudia Uwanja wa Mkapa ubao ukisoma Yanga 0-2 Vipers kwenye mchezo…

Read More

GEITA GOLD WASHUSHA MTU MWINGINE WA KAZI

 WACHIMBA madini,Geita Gold hawatanii kwa kuwa wana jambo lao na leo Agosti 7,2022 wameweza kumtambulisha nyota mpya katika kikosi hicho. Timu hiyo inakwenda kushiriki mashindano ya kimataifa Afrika baada ya kumaliza ligi ikiwa nafasi ya nne hivyo inajipanga kuwa ya kipekee. Ni beki Yahya Mbegu leo ametambulishwa kuwa mchimba madini mapya baada ya Agosti 4…

Read More

SINGIDA BIG STARS INAFIKIRIA KIMATAIFA

UONGOZI wa Singida Big Stars,umeweka wazi kwamba malengo yao ni kumaliza katika nne za juu ili waweze kushiriki mashindano ya kimataifa. Timu hiyo ambayo inatumia Uwanja wa Liti kwa mechi za nyumbani ina maingizo mapya ya kimataifa ikiwa ni pamoja na Meddie Kagere na Pascal Wawa ambao waliwahi kucheza Simba.  Ofisa Habari wa Singida ig…

Read More

TIMU YA TAIFA BEACH SOCCER KAZINI LEO

LEO kikosi cha Timu ya Taifa ya Soka la Ufukweni ‘Beach Soccer’ kitakuwa na mchezo wa marudiano wa kufuzu AFCON (BSAFCON) dhidi ya Malawi kwa ajili ya kufunga hesabu yake ya maandalizi hayo kwenye Fukwe za Coco jijini Dar es Salaam. Katika mazoezi ya mwishomwisho yaliyofanyika Ijumaa na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo wakiongozwa…

Read More

UZI MPYA WA SIMBA WAZINDULIWA

 LEO Agosti 7,2022 washindi wa pili ndani ya Ligi Kuu Bara,Simba wamezindua uzi wao mpya ambao utatumika kwa msimu wa 2022/23. Ni Sinza,madukani ilipo ofisi ya mdhamini wa Simba, Fred Vunjabei uzinduzi huo umeweza kufanyika. Pia VunjaBei ametambulisha logo (chapa) mpya itakayotumika kutambulisha mavazi ambayo atakuwa anayazalisha kuanzia sasa, na kwa mara ya kwanza logo…

Read More

AZAM FC WAJA NA AZAMKA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa msimu huu wanakuja tofatauti katika tamasha lao ambapo litakuwa mikononi mwa mashabiki.  Thabit Zakaria,Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa watakuwa na tamasha maalumu linalokwenda kwa jina la AZAMKA ambalo ni kwa ajili ya kuwatambulisha wachezaji wao lakini watakaoandaa mpango kazi ni mashabiki wa Azam FC. Kwa sasa…

Read More

UZI MPYA SIMBA KUTAMBULISHA,SIMBA DAY KUWA YA KIPEKEE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa tamasha la Simba Day mwaka huu litakuwa la kipekee tofauti na zama. Ahmed Ally,Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya Simba ameweka wazi kuwa kila kitu kinakwenda sawa. Tayari wageni wao ambao ni St George wamewasili Tanzania kwa ajili ya kufanya maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wa…

Read More

HAJI MANARA:NILIKUJA KAMA MSHEREHESHAJI TU

HAJI Mnara,amesema kuwa kwenye tamasha la Wiki ya Mwananchi amehudhuria pale akiwa ni MC na sio msemaji wa Yanga. Agosti 6,2022 katika kilele cha Wiki ya Mwananchi,Manara aliibuka na kufanya sapraizi kubwa kwa mashabiki na wanachama wa Yanga. Ikumbukwe kwamba Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) ilitoa adhabu kwa Manara Julai 21 mwaka…

Read More

YANGA YAAMBULIA KICHAPO MBELE YA VIPERS SC

 DAKIKA 90 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 0-2 Vipers SC kwenye mchezo wa kirafiki. Mchezo wa leo ulikuwa maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji pamoja na uzi mpya wa Yanga utakaotumika msimu wa 2022/23. Ni kwenye kilele cha Wiki ya Mwananchi leo Agosti 6,2022 ambapo mashabiki na wanachama wa Yanga…

Read More

BM 33:NIMERUDI JAMANI,AOMBA MSAMAHA KWA MASHABIKI

KIUNGO wa Yanga, Bernard Morrison ambaye amerejea katika kikosi hicho kwa kusaini dili la miaka miwili ameweka wazi kuwa anahitaji msamaha kwa yale ambayo aliyafanya na sasa amerejea. Jina la kiungo huyo lilipotajwa aliingia uwanjani huku akisema nimerudi,nimerudi jamani. Nyota huyo alitambulishwa kwa mara ya kwanza na Yanga kabla ya kusaini dili la miaka miwili…

Read More