Saleh

CASEMIRO HUYO MAN UNITED

MANCHESTER United imekubaliana na Real Madrid dili la kumsajili kiungo Casemiro kwa pauni milioni 60. Tayari pande zote zimeshakubaliana huku United pia ikiwa imeshakubaliana na Mbrazil huyo ambaye anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya wikiendi hii kabla ya kusaini mkataba wa miaka minne, Old Trafford. Mkataba huo unakipengele cha kuongeza mwaka mwingine zaidi ikiwa atafanya kazi…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Agosti 20,2022 ambapo kuna mechi nne zitachezwa kusaka pointi tatu muhimu. Ikumbukwa kwama jana Agosti 19 ulichezwa mchezo mmoja, Uwanja wa Uhuru na ubao ulisoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Leo ni Coastal Union v Yanga Polisi Tanzania v KMC Simba v Kagera Sugar

Read More

NAMUNGO YASHINDA MBELE YA IHEFU, LUSAJO KAMA KAWA

MCHEZO pekee wa Ligi Kuu Bara ambao umechezwa leo Agosti 19,2022 Uwanja wa Uhuru dakika 90 ubao umeseoma Ihefu 0-1 Namungo FC. Huu unakuwa mchezo wa pili mfululizo kwa timu ya Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, Zuber Katwila kupoteza pointi tatu ikiwa nyumbani. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Highland Estate, Ihefu ilifungwa…

Read More

YANGA YAINGIA MKATABA WA MIAKA MIWILI NA JACKSON GROUP

KLABU ya Yanga leo Agosti 19,2022 imeingia makualiano na Kampuni ya Masoko iitwayo Jackson Group. Kwa mujibu wa rais wa Yanga,  Hersi Ally Said amesema kuwa  wameingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya masoko ya Jackson Group ambayo itakuwa na jukumu la kuleta mahusiano ya kibiashara kati ya Yanga na washirika wengine. “Kampuni ya…

Read More

KILA MTU ANA NAFASI YA KUSHINDA JACKPOT MERIDIANBET, UNAFAHAMU JACKPOT NI NINI NA NAMNA YA KUSHINDA?

Kwa mpenzi wa kubashiri mtandaoni, bila shaka hili ni jambo unalolitazama kwa jicho la tatu, Jackpoti zimekuwa ni kivutio cha wataalamu na wapenzi wengi wa ubashiri. Nipo kwa ajili ya kukuwekea sawa fursa za kushinda Jackpoti kubwa na kasino ya mtandaoni, lakini naona umuhimu wa kukupa kijihistoria kidogo cha Jackpoti kwenye ulimwengu wa kubashiri. Jackpoti,…

Read More

MBINU YA SIMBA KUTWAA UBINGWA IPO HIVI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kuhakikisha unapata pointi nyingi mzunguko wa kwanza ili kuweza kufikia malengo ya kutwaa ubingwa. Kwa sasa mabingwa watetezi wa ligi ni Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ambaye alikiongoza kikosi cha Yanga kutwaa ubingwa bila kufungwa. Kikosi cha Simba kinanolewa na Kocha Mkuu, Zoran Maki aliyechukua mikoba…

Read More

KOCHA NABI AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa viwango vya wachezaji wake ambavyo wameonyesha kwenye mechi mbili amevutiwa navyo na anahitaji waweze kuongeza zaidi. Katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Yanga iliweza kushinda mabao 2-1 dhidi ya Simba na iliweza kushinda pia mabao 2-1 mbele ya Polisi Tanzania ilikuwa kwenye mchezo wa ligi. Mabao…

Read More

IHEFU KUIKABILI NAMUNGO LEO UWANJA WA UHURU

BAADA ya kupoteza mchezo wao wa kwanza dhidi ya Ruvu Shooting msimu wa 2022/23 kwa kufungwa bao 1-0, Agosti 19,2022 Ihefu ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Namungo FC, Uwanja wa Uhuru. saa 10:00 jioni. Ihefu inanolewa na Kocha Mkuu Zuber Katwila ambaye aliibuka hapo baada ya kubwaga manyanga ndani ya Mtibwa Sugar leo…

Read More

NAHODHA MANCHESTER UNITED MAGUIRE KUPIGWA BENCHI

INAELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Manchester United, Eric ten Hag anafikiria kumpiga benchi nahodha wa timu hiyo, Harry Maguire. Itakuwa ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Liverpool unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Old Trafford. Mchezo huo ambao utakuwa na ushindani mkubwa unatarajiwa kuchezwa Jumatatu ijayo. Nyota huyo ameanza kwenye mechi mbili ambazo timu…

Read More

KOCHA NABI AMTABIRIA MAKUBWA MAKI

NASREDDINE Nabi,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa Zoran Maki kocha wa Simba anapaswa apewe muda kuiunda timu ya ushindani kwa kuwa bado kila kitu kwake ni kipya. Maki alikabidhiwa mikoba ya Pablo Franco ambaye alichimbishwa Mei 31, 2021 baada ya kuvuliwa taji la Ngao ya Jamii kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Yanga katika hatua…

Read More