
STAA WA MABAO YA KIDEONI AANDALIWA KUIMALIZA VIPERS
MOHAMED Mussa mshambuliaji wa kikosi cha Simba ni miongoni mwa mastaa ambao wameanza mazoezi kuikabili Vipers kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ina kazi ya kusaka pointi tatu dhidi ya Vipers leo Machi 7 ikiwa ni mchezo wa nne katika kundi C kwenye mchezo uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa St Mary’s ukisoma…