
MPIRA ULIANZIA WAPI? PESA ZINATOKA WAPI?
Historia ya mpira wa miguu ilikuwepo tangu karne ya 15C, lakini ilisambaa Zaidi karne ya 19C huko Uingereza ambapo mpira wa miguu ulikuwa unachezwa mjini na baadae ukahamishiwa kuchezwa kwenye shule za umma. Mwaka 1865 Uingereza waliamua kuurasmisha mchezo huu pendwa na kuunda Chama cha Soka (FA) kitakachokuwa kinasimamia kanuni na sharia za mpira. Baada…