
VIDEO:MZEE WA SALUTI MP AFUNGUKIA HALI YAKE KWA SASA
MZEE wa saluti ndani ya Simba Moses Phiri afungukia hali yake kwa sasa
MZEE wa saluti ndani ya Simba Moses Phiri afungukia hali yake kwa sasa
ISHU ya Yanga na SportPesa na Yanga, Yanga waja namna hii
KOCHA msaidizi wa Yanga, Cedrick Kaze amewataja mastaa watakaoikosa mechi yao ya kesho ya ligi Februari 4,2023 dhidi ya Namungo FC, Uwanja wa Mkapa
USHIRIKINA umewaponza sio Simba mpaka Singida Big Stars
MSAFARA wa nyota 24 wanaokipiga ndani ya Azam FC leo Februari 3,2023 umeanza safari kuelekea Dodoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 4,2023 Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na wametumia usafiri wa ndege ya Air Tanzania. Mastaa hao ni hawa hapa:-1. Ali Ahamada 2. Iddrisu…
MO Dewji anazidi kupaa kwa utajiri, awa namba moja
MGUNDA atimka kambini Simba, Yanga yawatengea waarabu saa 120 ndani ya Championi Ijumaa
Wiki imeisha kwa michezo mbalimbali Carabao, FA, Coppa Italia lakini sasa wikiendi hii ligi zinaendelea kuanzia leo Ijumaa, EPL na Ligi nyingi zitatimua vumbi kwenye viwanja tofauti. Meridianbet wanatoa ODDS Nono na Machaguo Zaidi ya 1000+ Mechi kalii za leo, baada ya Tajiri wa Chelsea kutumia takriban paundi 300m kwenye usajili wa dirisha dogo, akiwaleta…
NI Saleh Ally Mhariri, Mtendaji wa Global Publishers na mwandishi mahiri wa habari za michezo, ameweka rekodi ya kuwa mwandishi wa Habari wa kwanza Tanzania kuchaguliwa na FIFA kupiga kura ya kumchagua mchezaji bora wa FIFA wa Dunia. Saleh Jembe amechaguliwa na FIFA kwa mara ya tatu wiki iliyopita, katika kitengo cha waandishi wa habari….
HENOCK Inonga, beki wa Simba amerejea kwenye uimara wake taratibu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons. Katika mchezo huo wa ligi Inonga mwenye mabao mawili alikwama kuyeyusha dakika 90 wakati timu hiyo ikisepa na pointi tatu mazima. Hakuwa kwenye mchezo dhidi ya Dodoma Jiji na Coastal Union na anatarajiwa…
Yanga SC yawashtukiza Waarabu, straika mpya Simba ampa jeuri Robertinho, ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
KILE ambacho wanazidi kukionyesha Arsenal kwenye Premier League pengine wengi hawakutarajia kwamba hadi sasa wangekuwa wanakalia kileleni mwa msimamo tena dhidi ya klabu ambazo zinaonekana zilizoeleka kwenye nafasi hiyo Manchester City na Liverpool. Arsenal kwa sasa ndio wako kileleni kwa tofuti ya alama tano dhidi ya wanaowafuatia ambao ni Man City na 11 dhidi ya…
BAADA ya kumalizana na Coastal Union kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho kituo kinachofuata kwa Simba ni dhidi ya Singida ig Stars. Leo Februari Mosi 2023 kikosi cha Simba kimefanya mazoezi kwa ajili ya kuelekea kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Ijumaa. Februari 3 utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Simba ndani ya mwezi mpya 2023…
MWEKEZAJI katika Klabu ya Simba, bilionea na mfanyabiashara maarufu Tanzania na Afrika kwa ujumla, Mohammed Dewji, anazidi kupaa kwa utajiri duniani baada ya hivi karibuni Jarida la Fobes kutoa orodha ya mabilionea 19 Afrika. Katika orodha hiyo iliyotoka Januari 30, 2023, Mo Dewji ambaye ni Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, ameshika nafasi ya…