


TWAHA KIDUKU AFANYA KWELI
BONDIA Twaha Kiduku amechapa Lago Kiziria kutoka Georgia kwa pointi na kufanikiwa kutetea taji lake la UBO huku akishinda taji jipya la PST hapa katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro. Baada ya ushindi huo Twaha ambaye ni mzawa ameweka wazi kuwa furaha ya ushindi ni kubwa na hatarudi nyuma kwa kuwa anahitaji kufanya vizuri zaidi. “Wamezoea…

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA WYDAD
KIWA Uwanja wa Mkapà klabu ya Simba imepata ushindi wa bao 1-0 Wydad Casablanca. Huu ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali na bao limefungwa na Jean Baleke dakika ya 30. Licha ya kuwa na mabadiliko katika kikosi cha kwanza akianza Ally Salim langoni bado walikuwa na kushinda mchezo huo. Baleke…

POLISI TANZANIA YAPANDA NAFASI MOJA
USHINDI ambao wameupata Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu umewaondoa kutoka nafasi ya 16 mpaka 15. Katika mchezo uliochezwa Aprili 21 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-1 Ihefu. Mabao ya Ihefu yalifungwa na Kelvin Sabato huku lile la Ihefu likifungwa na Adam Adam. Ushindi huo unaifanya Polisi…

SIMBA 1-0 WYDAD CASABLANCA
UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Simba 1-0 Wydad Casablanca ikiwa ni hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la kuongoza limefungwa na mshambuliaji Jean Baleke akiwa ndani ya 18 dakika ya 30. Dakika 45 za mwanzo Simba imepata umiliki wa asilimia 55 huku Wydad wakiwa na umiliki wa asilimia 45. Ushindani ni mkubwa huku…

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA
IKIWA ni mchezo wa hatua ya robo fainali ni Ally Salim ameanza langoni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Wydad Casablanca. Shomari Kapombe, Henock Inonga,Joash Onyango na Mohamed Hussein hawa upande wa ulinzi. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawa upande wa viungo wakabaji. Kibu Dennis, Saidi Ntibanzokiza na Clatous…

VIDEO:KOCHA YANGA AICHAMBUA MECHI YA SIMBA V WYDAD
EDNA Lema alyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Princess ameichambua mechi ya Simba v Wydad ambayo ni ya Ligi ya Mabingwa Afrika

VIDEO:MAYELE ATOBOA SIRI KUPIWA SIMU NA KIUNGO SIMBA
FISTON Mayele mshambuliaji wa Yanga amefungukia ishu ya kupigiwa simu na kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin ambaye alimchezea faulo mbaya kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi

KIMATAIFA HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI,KUJITUMA MUHIMU
SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Kwenye hatua za robo fainali ambacho kinaangaliwa ni ushindi mechi zote…

MICHEZO Ligi Mbalimbali Za Kukupatia Pesa Wikendi Hii Unaanzaje Wikendi Yako?
Ligi mbalimbali Duniani kuendelea wikendi hii huku kila timu ikihitaji kusaka pointi 3 muhimu ili kusalia kwenye ligi, wengine wakipambania Ubingwa na wengine wakipambani kusalia kwenye ligi. EPL, Bundesliga, NBC, Serie A, Laliga Ligue 1 hizo ni zile kubwa duniani lakini pia kuna zingine kutoka nchini mbalimbali zitapigwa. Ligi ya Ufaransa Ligue 1 itaendelea wikendi…

SIMBA WAPANIA KUFANYA KWELI KWA MKAPA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na MawasilianoSimba amesema wataushangaza ulimwengu kwa kuwapelekea moto wapinzani wao Wydad Casablanca kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatarajiwa kusaka ushindi kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ally amesema kuwa wamekuwa na muda mzuri kufanya maandalizi kwa mchezo…


CHEZA MERIDIANBET KASINO USHINDE TSH 2,500,000/=
Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni! Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27 Aprili kupitia kasino ya mtandaoni ambapo litakupa sababu halisi ya kwa nini Spring ni msimu mzuri zaidi. Furahia michezo iliyochaguliwa na shindania mgao wako wa TZS 2,500,000. JUMLA YA ALAMA…

VIDEO:SIMBA YAWACHAMBUA WAARABU WYDAD
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema mchezo wao dhidi ya Wydad ni kubwa na yenye hadhi ya kipekee na ukubwa wa mechi hiyo watu wanataka kumuona mnyama akirejea historia ya kuwavua ubingwa Zamalek

SEVILLA HAO NUSU FAINALI
KLABU ya Sevilla imetinga hatua ya nusu fainali Europa League kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-2 Manchester United. Katika mchezo wa robo fainali wa pili wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester United uliochezwa Aprili 20. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Youssef En Nesyri ambaye alipachika mawili dakika ya 8,81 na moja…

MUZIKI WA YANGA WAITISHA RIVERS, YANGA YAIPA SIMBA MILIONI 188.9
Kutoka Nigeria….Muziki wa Yanga waitisha Rivers,Yanga yaipa Simba milioni 188.9 ñdani ya Championi Ijumaa

VIDEO”ALLY KAMWE AWACHAMBUA WAPINZANI WAO RIVERS
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amewachambua wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ambao ni Rivers United. Msafara wa Yanga tayari umeanza safari mapema leo Aprili 20 2023 kuwafuata wapinzani hao Nigeria