
VIDEO:MASTAA KMC WAZUNGUMZIA KICHAPO DHIDI YA YANGA
MASTAA KMC wazungumzia kichapo dhidi ya Yanga
MASTAA KMC wazungumzia kichapo dhidi ya Yanga
JONAS Mkude ampa jeuri kocha Simba, sababu za kutochezwa zatajwa
BAADA ya kumaliza kete yao ya Ligi Kuu Bara Februari 22 kwa kusepa na pointi tatu mazima msafara wa Yanga umeanza safari kuelekea Mali. Februari 22 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma KMC 0-1 Yanga na kuipa pointi tatu Yanga ikiwa inaongoza ligi. Bao pekee la ushindi lilifungwa na Clemnt Mzize akiwa ndani ya 18…
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra
HUKU kikosi cha Yanga kikiwa na nyota kadhaa ambao hawakuanza kikosi cha kwanza mchezo wa kimataifa dhidi ya TP Mazembe wamesepa na pointi tatu zote za KMC. Kazi kubwa imemalizwa ndani ya dakika 40 za mwanzo ambapo bao lilipachikwa na Clement Mzize dakika ya 38 na kuipa pointi tatu Yanga. Uimara wa ukuta wa timu…
UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kuwa kwa sasa unapambana na hali waliyonayo kurejea kwenye ubora. Timu hiyo haijawa kwenye mwendo mzuri kutokana na kushindwa kupata matokeo mazuri kwenye mechi za ligi. Mchezo wake uliopita ilipoteza pointi tatu kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Geita Gold, Uwanja wa Nyankumbu mchezo wao ujao ni dhidi ya…
DAKIKA 45 zimekamilika na ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma KMC 0-1 Yanga ikiwa ni mchezo wa ligi. Kazi kubwa imefanyika kwa timu zote kusaka ushindi ambapo ni Yanga walikuwa wa kwanza kuwatungua KMC. Bao la uongozi limejazwa kimiani na Clement Mzize ambaye alimalizia pigo la kona lililomshinda mlinda mlango David Kissu.
HIKI hapa kikosi cha Yanga dhidi ya KMC leo mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa kipo namna hii:- Diarra Kibwana Bryson Bacca Mwamnyeto Mauya Kisinda Sure Boy Clement Aziz Ki Ambundo
BAADA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Dodoma Jiji kituo kinachofuata kwa Mtibwa Sugar ni dhidi ya Singida Big Stars. Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Maungu, Morogoro dakika 90 zilipokamilika timu hiyo ilisepa na pointi tatu. Kituo kinachofuata ni dhidi ya Singida Big Stars mchezo unaotarajiwa kuchezwa Februri 27,2023 Uwanja wa Liti. Tayari…
KOCHA Mkuu wa KMC, Hitimana Thiery amesema kuwa watapambana kupata matokeo mazuri dhidi ya Yanga ili kurejesha hali ya kujiamini kwa wachezaji wake. Timu hiyo ilitoka kupoteza mchezo wake uliopita dhidi ya Ruvu Shooting kwa kufungwa mabao 2-1 Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Katika mchezo huo waliokuwa ugenini KMC ilikwama kufurukuta mbele ya Ruvu Shooting wazee…
AZAM FC yafungukia ishu ya mwamuzi wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa Februari 21 na ubao ukasoma Simba 1-1 Azam FC
KIUNGO Sadio Kanoute ni lazima abadili uchezaji wake kwenye kutimiza majukumu yake anaigharimu timu, anagharimu afya za wachezaji wake. Ni mchezaji mzuri anafanya kazi ngumu na inayoonekana lakini lazima aongeze umakini kwenye kutimiza majukumu yake. Kuna mikato yake mingine ni hatari kwa usalama wa wachezaji na kadi za njano ambazo anapewa zinaigharimu timu yake. Benchi…
LICHA ya kuwa katika ngome yao Uwanja wa Anfield walitunguliwa na wageni Real Madrid. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Liverpool 2-3 Real Madrid ikiwa ni mchezo wa UEFA Champions League. Mabao ya Darwin Nunez alipachika bao dakika ya 4 kisha Mohamed Salah alipachika bado dakika ya 14 yakiwa ni mabao pekee Kwa Liverpool. Vini…
BAADA ya Mzizima Dabi kukamilika Februari 21 na ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-1 Azam FC leo Ligi Kuu Bara inatarajia kuendelea. Ni mchezo wa wakusanya mapato KMC v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao ulisoma Yanga 1-0 KMC. Hivyo mchezo wa leo…
IMEISHA hiyo Nabi akabidhiwa faili la Winga TP Mazembe, Robertinho mtegoni apewa tatu Simba ndani ya Championi Jumatano
NGOMA nzito kwa Simba mbele ya Azam FC baada ya Mzizima Dabi kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1. Mchezo ulioshuhudia bao la mapema na bao la usiku kwa timu zote mbili huku wafungaji wote wakitoka ndani ya Azam FC. Ni Prince Dube alianza kuwatungua Simba dakika ya kwanza alipompa tabu Aishi Manula mpaka dakika…
NI bao la mapema zaidi ndani ya Ligi Kuu Bara kupata kutunguliwa kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula na mtupiaji akiwa ni mshikaji wake anayempa mateso siku zote. Anaitwa Prince Dube hakuhitaji dakika mbili zaidi ya ile ya kwanza kupachika bao la uongozi dhidi ya Simba kwenye mchezo unaochezwa Uwanja wa Mkapa. Moja ya…