Takwimu za magoli na wafungaji Muungano CUP 2026

LEO ni leo Muungano Cup Fainali, saa 2:15 usiku Uwanja wa New Amaan Complex, Yanga SC vs Simba SC huku kila timu ikivutia kwake kombe.

Mabingwa watetezi ni Yanga SC walitwaa taji hilo 2025 je nani atakuwa bingwa leo? Matokeo yatajulikana kwa kuwa hakuna kujivunja.

Hapa tunakuletea takwimu za magoli na wafungaji namna hii:-

Takwimu za magoli

Timu

Mechi zilizochezwa

Magoli yaliyofungwa

Magoli yaliyofungwa dhidi yao

Yanga SC

2

6

1

Azam FC

2

3

2

Simba SC

2

4

0

Mlandege FC

2

2

4

Hatua

Mechi/Timu husika

Mchezaji aliyechaguliwa

Robo fainali

Yanga SC vs Muembe Makumbi

Shekhan Khamis (Yanga SC)

Nusu fainali

Yanga SC vs Azam FC

Duke Abuya (Yanga SC)

Robo fainali

KVZ vs Azam FC

Ngita Jean (Azam FC)

Robo fainali

Simba SC vs Mafunzo SC

Semfuko Daud (Simba SC)

Nusu fainali

Mlandege FC vs Simba SC

Neo Maema (Simba SC)

Robo fainali

Mlandege FC vs Singida Black Stars

Mbappe (Mlandege FC)

 

Mchezaji

Timu

Idadi ya Magoli

Prince Dube

Yanga SC

3

Shekhan Khamis

Yanga SC

2

Ngita Jean

Azam FC

2

Seleman Mwalimu

Simba SC

2

***

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.