SportsAzam FC Wamtambulisha Mshambuliaji Mpya Aimar Hafidh Abubakar Saleh2 months ago01 mins Azam wamemtambulisha mshambuliaji wao mpya Aimar Hafidh Abubakar,kutoka Mlandege ya Zanzibar. Aimar amesaini mkataba wa miaka mitatu na Azam,huku akinunuliwa kwa tsh 50m. Post navigation Previous: Rais Samia Awapongeza Wachezaji wa Taifa Stars Baada ya AFCON-2025 – VideoNext: Rais Samia Ataka Mazingira Bora na Posho Zilizoboreshwa kwa Wachezaji wa Taifa