VIDEO:TAZAMA MASHABIKI WA YANGA,SIMBA WAKIPIGA PICHA NA BASI LA AZAM

BASI la Azam FC ni namba moja kwa ubora Afrika Mashariki na kati kwa sasa ambapo limekuwa ni kivutio kwa wengi na mashabiki wamekuwa wakipenda kupigia picha ikiwa ni pamoja na wale mashabiki wa Simba, Yanga wamekuwa wakifanya hivyo.

Pia mashabiki wa Simba nao wamekuwa wakitamba na ndiga yao ambapo nao wamekuwa wakipata muda wa kupiga picha kwenye gari lao.