LIVERPOOL, BARCELONA, NANTES KUKUPA MZIGO LEO

Leo hii mechi kali zinapigwa katika viwanja mbalimbali kuanzia kule Uingereza mpaka Ufaransa ambapo kila timu ina odds nzuri ya kukutamanisha. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa.

Tukianza na Italia SERIE A pia itapigwa leo Atalanta baada ya kupata ushindi mnono mechi iliyopita leo hii atakuwa mgeni wa Venezia ambaye ndiye kibonde wa ligi hadi sasa akiambulia pointi 4 pekee kwenye mechi 7 ambazo kacheza. Mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000. Bashiri sasa.

Wakati US Lecce yeye atamenyana dhidi ya Fiorentina ambapo timu hizi zimetofautina pointi 5 pekee. Mgeni anataka kulipa kisasi baada ya kupoteza mechi ya mwisho walipokutana. Na kule Meridianbet wanampa nafasi hiyo ya kushinda De Gea na wenzake kwa ODDS 2.30 kwa 3.14. Wewe unampa nani ushindi huu?. Jisajili sasa.

Bingwa mtetezi Inter Milan atakuwa na kibarua cha kukiwasha dhidi ya AS Roma ugenini ambapo mwenyeji akihitaji ushindi huu leo nyumbani baada ya kutoa sare mechi yake iliyopita. 4.21 kwa 1.81 ndio ODDS za mechi hii. Bashiri hapa sasa.

Jumapili ya kutimiza ndoto zako na Meridianbet ndio leo. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Pia cheza michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile, Poker, Super Heli, Roullette, Aviator, Wild Icy Fruits, Keno na mingine kibao.

Moto mkali upo hapa EPL mapema kabisa Manchester City atakuwa mgeni wa Wolves ambaye ana hali sana kwenye ligi kwani mpaka sasa kwenye mechi 7 alizocheza hajashinda hata moja. Pep anahitaji ushindi kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuwania ubingwa. Je Wolves watapata ushindi wa kwanza leo?. Mechi hii ina ODDS 9.01 kwa 1.27. Jisajili hapa.

Na mechi inayosubiriwa kwa hamu kabisa leo ni hii ya Liverpool VS Chelsea ambapo mara ya mwisho kukutana, The Blues walipigika. Lakini sasa vijana hao wa Darajani wana kocha mpya huku wakikusanya pointi 14 kwenye mechi 7 walizocheza. Meridianbet wanampa nafasi ya ushindi Jogoo wa Anfield kwa ODDS 1.59 kwa 4.70. Bashiri hapa.

Kule Hispania LALIGA itarindima vilivyo Atletico Madrid ya Diego Simeone itakipiga dhidi ya CD Leganes ambao wapo nafasi ya 17 kwenye ligi wakishinda mechi moja pekee. Atletico wanapewa nafasi ya kushinda leo kwa ODDS 1.32 kwa 9.80. Suka jamvi hapa.

Villarreal baada ya kupoteza mchezo uliopita, leo hii atakipiga dhidi ya Getafe ambao walitoa sare mchezo uliopita. Tofauti ya pointi kati yao ni 9 huku mechi ya mwisho kukutana walitoa sare ya kufungana. ODDS za mechi hii ni 1.81 kwa 4.41. Jisajili hapa.

Mechi ya mwisho Hispania leo ni hii ya FC Barcelona VS Sevilla ambapo vijana wa Hans Flick akihitaji ushindi huu kwa hali na mali ili iweze kujikita kileleni zaidi. Mgeni naye anazitolea macho hizo hizo pointi 3 ili aapende hadi nafasi ya 8. Beti mechi hii yenye ODDS 1.27 kwa 8.82.

Pia ligi kuu ya Ufaransa, LIGUE 1 kuna mitanange ya kutosha ambapo Lyon atasaka pointi 3 ugenini dhidi ya Le Havre ambaye alipigika mchezo wake uliopita. Mechi ya mwisho kukutana hawa wawili, Lyon alicheze. Je leo hii kwa ODDS 4.21 kwa 1.81 nani atashinda?. Suka jamvi hapa.

FC Nantes atakuwa uso kwa uso dhidi ya OGC Nice huku timu hizi zikifuatana kwenye msimamo wa ligi yaani mwenyeji ni wa 10 na mgeni wake wa 11 lakini pia wote wanalingana pointi wakiwa nazo tisa tisa. 3.14 na 2.40 ndio ODDS za mechi hii. Jisajili sasa.

Naye Marseille atapepetana dhidi ya Montpellier ambaye ni wa 17 kwenye msimamo wa ligi akiwa na pointi 4 pekee. Marseille yeye ni wa 3 akliwa na pointi zake 14 tuuh huku leo akihitaji ushindi kwa hali na mali kuendelea kushikilia hiyo nafasi yake. Machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa. Bashiri sasa.