TAYARI dirisha la usajili limefunguliwa ambapo kuna wachezaji wanawindwa na timu tofauti Bongo huku kukiwa na maboresho kwenye timu mbalimbali ikiwa ni pamoja na Simba. Kuna wachezaji ambao wanakutana na Thank You kwa wakati huu alianza nahodha John Bocco kisha Saido Ntibanzokiza kuna orodha ndefu inafuata.
Tottenham Hotspur forward Dominic Solanke battles with Crystal Palace defender Maxence Lacroix during the English championship Premier League football match between Crystal Palace and Tottenham Hotspur on 27 October 2024 at Selhurst Park in London, England - Photo Ian Stephen / ProSportsImages / DPPI (Photo by IAN STEPHEN / ProSportsImages / DPPI via AFP)