MWAMBA Pacome katika Ligi ya Mabingwa Afrika ameacha balaa huku wapinzani wao Medeama wakiwa wamefungwa mabao mawili na nyota huyo kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel kibindoni ina pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika katika kundi D