Skip to content
Sunday, June 14, 2026
  • New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
  • Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani
  • Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0
  • Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50
  • Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani
  • Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0
  • Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2022
  • December
  • 26
  • KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI
  • Sports

KMC 0-1 SIMBA, MAPIGANO AOKOTA MPIRA NYAVUNI

Saleh3 years ago01 mins

UWANJA wa CCM Kirumba dakika 45 za mwanzo zimemeguka kwa wachezaji kuvuja jasho katika msako wapointi tatu.

Ubao unasoma KMC 0-1 Simba bao likifungwa na John Bocco dakika ya 15.

David Mapigano kwenye mapigano ya kuokoa hatari hakuwa na chaguo la kufanya zaidi ya kuhushudia mpira ukiwa umezama nyavuni.

Post navigation

Previous: KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA KMC
Next: KAZE AFICHUA WALIVYOIBANA AZAM FC KWA MKAPA

Related News

New York Knicks Watwaa Ubingwa wa NBA Baada ya Kusubiri Zaidi ya Miaka 50

Saleh4 hours ago 0

Moto wa Kombe la Dunia Waendelea, Vigogo Watatu Kushuka Dimbani

Saleh7 hours ago 0

Australia Yaanza Kwa Kishindo Kombe la Dunia kwa Kuifunga Uturuki 2-0

Saleh7 hours ago 0

Morocco Yaizuia Brazil ya Ancelotti, Watoka Sare ya 1-1 Kombe la Dunia

Saleh13 hours ago7 hours ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.