Shalulile Na Mudathir Waipeleka Yanga Kileleni, Yawafunga Fountain Gate 2-0
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha umeshuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Fountain Gate FC na Yanga SC, ambapo Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kuendeleza rekodi yake ya ushindi wa asilimia 100 katika mechi tano za mwanzo za msimu. Yanga ilianza mchezo kwa kasi, ikitafuta bao la mapema,…