Skip to content
Friday, July 17, 2026
  • Mechi za Moto Leo: Levante, Benfica na Villarreal Kwenye Kipimo Kigumu
  • Messi Afunguka Baada ya Argentina Kutinga Fainali Kombe la Dunia, Aitahadharisha Hispania
  • Simba Yaanza Mabadiliko Makubwa, Yaaga Wachezaji Saba
  • Makipa Wanne Wawania Glovu ya Dhahabu Kombe la Dunia 2026

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Mechi za Moto Leo: Levante, Benfica na Villarreal Kwenye Kipimo Kigumu
  • Messi Afunguka Baada ya Argentina Kutinga Fainali Kombe la Dunia, Aitahadharisha Hispania
  • Simba Yaanza Mabadiliko Makubwa, Yaaga Wachezaji Saba
  • Makipa Wanne Wawania Glovu ya Dhahabu Kombe la Dunia 2026

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • July
  • 17

July 17, 2026

  • International
  • Sports

Mechi za Moto Leo: Levante, Benfica na Villarreal Kwenye Kipimo Kigumu

Saleh26 minutes ago03 mins

Kuelekea kurejea msimu mpya wa ligi, timu zinaendelea kujaribu vikosi kwa kucheza mechi za kirafiki kujua nani ni nani huku nafasi ya wewe kujiondokea na mkwanja wa maana ikiwa nzuri kabisa. Baada ya kupanda ligi kuu kule Hispania, Levante wataumana dhidi ya Sheffield United ambao wanataka kufanya vyema msimu ujao. Ikumbukwe kuwa wenyeji wamepanda daraja…

Read More
  • International
  • Sports

Messi Afunguka Baada ya Argentina Kutinga Fainali Kombe la Dunia, Aitahadharisha Hispania

Saleh4 hours ago02 mins

Nahodha wa Argentina, Lionel Messi, amesema hakushangazwa na uwezo wa timu yake kupindua matokeo na kuiondoa England kwa ushindi wa mabao 2-1 katika nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026, akisisitiza kuwa umoja na moyo wa kupambana ndio siri ya mafanikio yao. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Atlanta, Argentina ilitoka nyuma na kupata ushindi…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.