rgentina Yaiondosha Uswisi, Yatinga Nusu Fainali Kumenyana na England
Argentina imefuzu hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Uswisi mabao 3-1 baada ya muda wa nyongeza, katika mchezo mkali uliochezwa jijini Kansas City. Mashabiki wa Argentina walishuhudia timu yao ikianza vyema baada ya nahodha Lionel Messi kutoa pasi ya bao kwa Alexis Mac Allister aliyefunga kwa kichwa dakika ya…