Simba na Singida Black Stars Zatupwa Kundi la Moto CECAFA Kagame Cup 2026
Makundi ya michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026 yametangazwa rasmi, huku baadhi ya klabu kubwa za Afrika Mashariki na Kati zikitarajiwa kukutana katika mechi zenye ushindani mkali. Mabingwa wa Rwanda, APR FC, wamepangwa Kundi A pamoja na Vipers SC ya Uganda, Gor Mahia ya Kenya na Garde Républicaine ya Djibouti. Kundi B linazikutanisha timu za…