Kombe la Dunia Lapamba Moto, Vigogo Kukutana Robo Fainali, Morocco Yatikisa
Hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 imekamilika rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya timu nane kufuzu hatua ya robo fainali. Mabingwa wa dunia wa mwaka 2018, Ufaransa, watakutana na Morocco katika mchezo utakaochezwa Julai 9 katika Uwanja wa Boston, Huku Morocco ikihitaji kulipiza kisasi baada ya kutolewa hatua ya nusu fainali…