Prince Dube Atimkia Hardrock FC Baada ya Kuondoka Yanga SC
Aliyekuwa mshambuliaji wa Young Africans SC, Prince Dube, amekamilisha rasmi uhamisho wake na kujiunga na klabu ya Hardrock FC baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili. Dube amejiunga na klabu hiyo kufuatia kumalizika kwa mkataba wake na Yanga SC, ambako alikuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kabla ya kurejea nchini kwao Zimbabwe. Hardrock FC…