Skip to content
Tuesday, June 30, 2026
  • Rasmi! Enzo Maresca Kurithi Kiti cha Guardiola Manchester City
  • Paraguay Yaiondosha Ujerumani kwa Penalti, Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026
  • Brazil Yanusurika Kutolewa, Martinelli Aipa Ushindi wa Kishindo Yatinga 16 bora Kombe la Dunia
  • Arsenal Wakataliwa Kumnunua Nahodha wa Newcastle

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Rasmi! Enzo Maresca Kurithi Kiti cha Guardiola Manchester City
  • Paraguay Yaiondosha Ujerumani kwa Penalti, Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026
  • Brazil Yanusurika Kutolewa, Martinelli Aipa Ushindi wa Kishindo Yatinga 16 bora Kombe la Dunia
  • Arsenal Wakataliwa Kumnunua Nahodha wa Newcastle

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • June
  • 30

June 30, 2026

  • International
  • Sports

Rasmi! Enzo Maresca Kurithi Kiti cha Guardiola Manchester City

Saleh2 hours ago2 hours ago01 mins

Manchester City imemtangaza Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Pep Guardiola na kuanza rasmi enzi mpya katika kikosi hicho cha Ligi Kuu England. Maresca, mwenye umri wa miaka 46, amesaini mkataba wa miaka mitatu kuinoa City. Taarifa za kutangazwa kwake zilichelewa kutokana na mazungumzo kati ya Manchester City na…

Read More
  • International
  • Sports

Paraguay Yaiondosha Ujerumani kwa Penalti, Yaandika Historia Kombe la Dunia 2026

Saleh2 hours ago02 mins

Paraguay imeandika historia kwa kuiondosha Ujerumani kwenye Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa mabao 4-3 kwa mikwaju ya penalti kufuatia sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliochezwa Foxborough, Marekani. Matokeo hayo yameifanya Ujerumani kupoteza kwa mara ya kwanza kabisa katika mikwaju ya penalti kwenye historia…

Read More
  • International
  • Sports

Brazil Yanusurika Kutolewa, Martinelli Aipa Ushindi wa Kishindo Yatinga 16 bora Kombe la Dunia

Saleh6 hours ago2 hours ago02 mins

Brazil imefuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan katika mchezo wa hatua ya 32 bora uliochezwa kwenye Uwanja wa NRG, Houston, Marekani. Shujaa wa Brazil alikuwa mshambuliaji wa Arsenal, Gabriel Martinelli, aliyefunga bao la ushindi katika dakika ya tano ya muda…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.