Morocco Yafuzu Hatua ya Mtoano Licha ya Kukosa Uongozi wa Kundi C
Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Haiti katika mchezo wa mwisho wa Kundi C, lakini ikashindwa kutwaa nafasi ya kwanza ya kundi hilo kutokana na ushindi wa Brazil dhidi ya Scotland. Atlas Lions walihitaji ushindi mkubwa…