Skip to content
Sunday, August 23, 2026
  • Ibraheem Jabaar atozwa milioni 5 kisa kiwiko
  • Hull City yaibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester United
  • Kadi Nyekundu Zatikisa Simba Wachezaji Watatu Nje, Waibua Maswali
  • Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Ibraheem Jabaar atozwa milioni 5 kisa kiwiko
  • Hull City yaibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester United
  • Kadi Nyekundu Zatikisa Simba Wachezaji Watatu Nje, Waibua Maswali
  • Singida Black Stars 1-2 Simba SC

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • June
  • 25

June 25, 2026

  • Sports

Ecuador vs Ujerumani: Mtihani Mkubwa Kundi E Lenye Mvutano Mkali

Saleh2 months ago03 mins

Michuano mikubwa Duniani inazidi kupamba moto huku kila timu ikihitaji ushindi kuelekea mechi za mwisho za makundi. Nafasi ya wewe kuondoka na pesa ipo hapa hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi leo. Nafasi ya kuondoka na mshiko ipo hapa kwa Ecuador dhidi ya Ujerumani, mechi ambayo muhimu sana kwa Ecuador ambao mpaka sasa kwenye mechi…

Read More
  • Sports

Simba na Azam Kukutana Fainali ya CRDB Federation Cup Pemba

Saleh2 months ago2 months ago01 mins

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank (CRDB Federation Cup) kati ya Simba SC na Azam FC utafanyika Julai 4, 2026 saa 11:00 jioni. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF, fainali hiyo itachezwa katika Gombani Stadium, ikiwa ni sehemu ya kuhitimisha rasmi mashindano yote…

Read More
  • International
  • Sports

Infantino Aitetea Mfumo wa Mapumziko ya Maji Kombe la Dunia

Saleh2 months ago02 mins

Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Gianni Infantino, ametetea uamuzi wa kuanzishwa kwa mapumziko ya lazima ya maji (hydration breaks) katika Kombe la Dunia 2026, akisisitiza kuwa uamuzi huo hauhusiani na maslahi ya kibiashara bali ni kwa sababu za kiusalama na kiutendaji kwa wachezaji. Kwa mujibu wa mfumo huo mpya, kila mchezo unasimama kwa…

Read More
  • International
  • Sports

Saudi Arabia Yajiweka Kwenye Hatua ya Mtoano, Cape Verde Kuamua Hatma ya Kundi H

Saleh2 months ago02 mins

Saudi Arabia bado ina matumaini ya kufuzu moja kwa moja hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 kuelekea mchezo wa mwisho wa Kundi H, katika moja ya makundi yaliyojaa ushindani mkubwa na matokeo ya kushangaza. Kabla ya michuano kuanza, wengi walitarajia Spain na Uruguay kutawala kundi hilo, huku Saudi Arabia na Cape Verde…

Read More
  • Sports

Morocco Yafuzu Hatua ya Mtoano Licha ya Kukosa Uongozi wa Kundi C

Saleh2 months ago02 mins

Timu ya taifa ya Morocco imefuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Haiti katika mchezo wa mwisho wa Kundi C, lakini ikashindwa kutwaa nafasi ya kwanza ya kundi hilo kutokana na ushindi wa Brazil dhidi ya Scotland. Atlas Lions walihitaji ushindi mkubwa…

Read More
  • International
  • Sports

Afrika Kusini Yaandika Historia, Yatinga Hatua ya Mtoano kwa Mara ya Kwanza

Saleh2 months ago02 mins

Afrika Kusini imeandika historia mpya baada ya kuifunga Korea Kusini bao 1-0 na kufuzu hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026 kwa mara ya kwanza katika historia yake. Bao pekee la mchezo huo lilifungwa na Thapelo Maseko dakika ya 63 katika mechi ya mwisho ya Kundi A iliyochezwa mjini Guadalupe, Mexico. Maseko alimalizia kwa…

Read More
  • International
  • Sports

Qatar Yaaga Mashindano ya Kombe la Dunia Baada ya Kufungwa na Bosnia 3-1

Saleh2 months ago02 mins

Qatar imeondolewa rasmi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kupokea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya timu ya taifa ya Bosnia na Herzegovina katika mchezo wa mwisho wa Kundi B uliochezwa Seattle, Marekani. Bosnia ilianza kuonyesha ubora wake mapema na kufunga mabao mawili ndani ya dakika tano. Kijana mwenye umri wa miaka 18, Kerim…

Read More
  • International
  • Sports

Vinicius Ang’ara, Brazil Yaifunga Scotland na Kutinga Hatua ya Mtoano Kombe la Dunia

Saleh2 months ago02 mins

Timu ya taifa ya Brazil imefuzu rasmi hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Scotland mabao 3-0 katika mchezo wa Kundi C uliochezwa Miami, huku nyota wake Vinicius Junior akiendelea kung’ara kwa kufunga mabao mawili. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid aliifungia Brazil bao la kwanza mapema dakika ya saba baada ya…

Read More
  • Sports

Maambukizi Ya Burudani Ya Kisasa Yanatoka Zombie Apocalypse

Saleh2 months ago2 months ago02 mins

Burudani ya mtandaoni imeingia hatua mpya ya ubunifu kupitia Meridianbet, ambapo mchezo wa Zombie Apocalypse unazidi kuwavutia wapenzi wa michezo ya kisasa. Huu si mchezo wa kawaida, bali ni ulimwengu wa hadithi za kutisha unaomweka mchezaji katikati ya mapambano ya kuishi dhidi ya maadui wasiokufa. Meridianbet imezindua ofa maalum inayoongeza thamani ya uzoefu huu wa…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.