Yanga SC watoa tamko baada yakupoteza dhidi ya Azam FC
UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa wachezaji walijituma katika kusaka matokeo kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali licha yakupoteza dhidi ya Azam FC. Juni 21, 2026 ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Azam FC 3-2 Yanga SC kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup. Matokeo hayo yanaipa tiketi Azam FC kutinga fainali huku Yanga…