Xabi Alonso Afikia Makubaliano Kuinoa Chelsea kwa Miaka Minne
Klabu ya Chelsea FC ipo hatua za mwisho kumtangaza kocha Mhispania Xabi Alonso kuwa meneja mkuu mpya wa kudumu wa timu hiyo baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya awali ya mkataba wa miaka minne. Alonso mwenye umri wa miaka 44 anatarajiwa kuchukua nafasi ya Liam Rosenior aliyefutwa kazi mwezi uliopita, huku taarifa rasmi zikitarajiwa kutolewa…