Skip to content
Sunday, May 17, 2026
  • Xabi Alonso Afikia Makubaliano Kuinoa Chelsea kwa Miaka Minne
  • Ronaldo Aendelea Kusota na Mataji Al Nassr, Gamba Osaka Mabingwa AFC Champions League Two
  • USM Alger Yabeba Ubingwa Kombe la Shirikisho kwa Mara ya Pili, Che Malone Aandika Historia
  • Fainali ya CAFCC Kutimua Vumbi Cairo Usiku wa Leo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Xabi Alonso Afikia Makubaliano Kuinoa Chelsea kwa Miaka Minne
  • Ronaldo Aendelea Kusota na Mataji Al Nassr, Gamba Osaka Mabingwa AFC Champions League Two
  • USM Alger Yabeba Ubingwa Kombe la Shirikisho kwa Mara ya Pili, Che Malone Aandika Historia
  • Fainali ya CAFCC Kutimua Vumbi Cairo Usiku wa Leo

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • May
  • 17

May 17, 2026

  • International
  • Sports

Xabi Alonso Afikia Makubaliano Kuinoa Chelsea kwa Miaka Minne

Saleh2 hours ago02 mins

Klabu ya Chelsea FC ipo hatua za mwisho kumtangaza kocha Mhispania Xabi Alonso kuwa meneja mkuu mpya wa kudumu wa timu hiyo baada ya kufikiwa kwa makubaliano ya awali ya mkataba wa miaka minne. Alonso mwenye umri wa miaka 44 anatarajiwa kuchukua nafasi ya Liam Rosenior aliyefutwa kazi mwezi uliopita, huku taarifa rasmi zikitarajiwa kutolewa…

Read More
  • International
  • Sports

Ronaldo Aendelea Kusota na Mataji Al Nassr, Gamba Osaka Mabingwa AFC Champions League Two

Saleh3 hours ago01 mins

Nyota wa kimataifa wa Ureno, Cristiano Ronaldo, ameendelea kusubiri taji rasmi akiwa na Al Nassr FC baada ya klabu hiyo kupokea kipigo cha 1-0 dhidi ya Gamba Osaka katika fainali ya michuano ya AFC Champions League Two iliyopigwa kwenye dimba la Al Awwal Park mjini Riyadh, Saudi Arabia. Bao pekee la mchezo lilifungwa dakika ya…

Read More
  • International
  • Sports

USM Alger Yabeba Ubingwa Kombe la Shirikisho kwa Mara ya Pili, Che Malone Aandika Historia

Saleh3 hours ago01 mins

Klabu ya USM Alger imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) kwa mara ya pili katika historia yao baada ya kuibuka na ushindi wa penalti 8-7 dhidi ya Zamalek SC kwenye mchezo wa fainali uliopigwa mjini Cairo. Mchezo huo ulimalizika kwa ushindi wa 1-0 kwa Zamalek ndani ya dakika 90 kupitia…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.