Yanga SC hao fainali Muungano Cup waisubiri Simba SC vs Mlandege SC
Mabingwa watetezi wa Muungano Cup Yanga SC wametinga hatua ya fainali kwa ushindi wa magoli 2-1 Azam FC. Ni Prince Dube alifungua ukurasa wa magoli dakika ya 9 kwa pasi ya Allen Okelo na kamba ya pili mali ya Maxi Nzengeli kwa pasi ya Dube dakika ya 24. Goli pekee la Azam FC limefungwa na…