Skip to content
Wednesday, April 22, 2026
  • Barcelona vs Celta Vigo Patashika Kubwa Camp Nou Usiku wa Leo
  • Blues Wazama Baharini! Chelsea Yapigwa Mechi 5 Mfululizo Bila Bao
  • Cristiano Ronaldo na Mwanawe Kuandika Historia Kucheza Pamoja Al Nass
  • Ubabe Mtupu! Yanga SC Yatinga Nusu Fainali Bila Huruma Kombe la Muungano

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Barcelona vs Celta Vigo Patashika Kubwa Camp Nou Usiku wa Leo
  • Blues Wazama Baharini! Chelsea Yapigwa Mechi 5 Mfululizo Bila Bao
  • Cristiano Ronaldo na Mwanawe Kuandika Historia Kucheza Pamoja Al Nass
  • Ubabe Mtupu! Yanga SC Yatinga Nusu Fainali Bila Huruma Kombe la Muungano

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • April
  • 22

April 22, 2026

  • Sports

Barcelona vs Celta Vigo Patashika Kubwa Camp Nou Usiku wa Leo

Saleh54 minutes ago03 mins

Patashika nguo kuchanika Leo tarehe 22 Aprili 2026, saa 10:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki, uwanja wa Spotify Camp Nou huko Barcelona utakuwa jukwaa la pambano la kusisimua la La Liga kati ya Barcelona na Celta Vigo. Barcelona wanaingia kwenye mechi hii wakiwa kileleni mwa msimamo wa La Liga wakiwa na pointi 76 baada…

Read More
  • Sports

Blues Wazama Baharini! Chelsea Yapigwa Mechi 5 Mfululizo Bila Bao

Saleh3 hours ago01 mins

Klabu ya Chelsea FC imejikuta katika kipindi kigumu baada ya kupoteza mechi tano mfululizo za Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1993, huku pia ikishindwa kufunga bao katika mfululizo huo wa mechi hali ambayo haijawahi kutokea katika kipindi cha miaka 114. Matokeo hayo yamekuja baada ya kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa…

Read More
  • Sports

Cristiano Ronaldo na Mwanawe Kuandika Historia Kucheza Pamoja Al Nass

Saleh4 hours ago4 hours ago02 mins

Nyota wa soka duniani Cristiano Ronaldo anaweza kuandika historia nyingine kubwa ya michezo iwapo atafanikiwa kucheza pamoja na mwanawe Cristiano Ronaldo Jr katika timu ya Al Nassr msimu ujao. Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Kiarabu zinasema kuwa klabu hiyo ya Saudi Arabia inaangalia uwezekano wa kumuinua kijana huyo mwenye umri wa miaka 15 kutoka…

Read More
  • Sports

Ubabe Mtupu! Yanga SC Yatinga Nusu Fainali Bila Huruma Kombe la Muungano

Saleh8 hours ago3 hours ago01 mins

Klabu ya Yanga imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Muungano 2026 baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Muembe Makumbi City katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la New Amaan Complex, Zanzibar. Yanga walionesha ubora wao mapema katika mchezo huo, wakitawala kabisa dhidi ya wapinzani wao na kupata bao…

Read More
  • Entertainment

Shinda Samsung A26 Kupitia Meridianbet Kwa Dau la 5,000 Tu

Saleh15 hours ago41 minutes ago02 mins

Inawezekana kabisa kupata Samsung Mpya kabisa kwa wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Kupitia promosheni yako ya Bet Online ndugu mteja una nafasi ya kuchukua Samsung A26 hapa. Katika msimu huu wa burudani na ushindani mkali ndani ya ulimwengu wa soka, Meridianbet imewasha moto mpya unaowapa wachezaji wote sababu ya kuongeza hamasa wanapotazama na kubashiri mechi…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.