Simba SC yawafuata Namungo FC kamili gado
KIKOSI cha Simba SC kimewafuata wapinzani wao Namungo FC kamili gado kwa maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 19, 2026 Uwanja wa Majaliwa. Chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker kikosi hicho kimewasili Ruangwa, Lindi mara baada ya kuanza safari kikitokea Dar. Ikumbukwe kwamba kikosi cha Simba SC kimetoka Arusha ambapo kilikuwa…