FT: Mbeya City 0-0 Azam FC

UBAO wa Tanzanite Kwaraa, Manyara umesoma Mbeya City 0-0 Azam FC NBC Premier League leo Aprili 9, 2026. Wababe hawa wawili wamekamilisha dakika 90 bila kufungana kwenye mchezo wa leo uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja. Matokeo hayo yanaifanya Mbeya City kufikisha jumla ya pointi 17 ikiwa nafasi ya 12 huku Azam FC nafasi…

Read More

Usiku wa Maamuzi Europa leo Usiku: Nani Ataanza na Ushindi Muhimu? Villa vs Nottingham Forest, Freiburg vs Celta Vigo

Je unajua kuwa Aston Villa ni moja ya timu ambazo zinapigiwa chapuo kuchukua taji la Europa msimu huu?. Unai Emiry na vijana wake wamekuwa na kiwango kizuri sasa. Je wewe unawapa nafasi ipi? Bologna atamleta kwake Aston Villa kutoka kule Uingereza huku mechi hii ikionekana kuwa ya kibabe kabisa kwani timu hizi zote zinahitaji ushindi…

Read More

FT: TRA United 0-0 Simba SC

Ubao wa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid umesoma TRA United 0-0 Simba SC. Umiliki wa mpira ilikuwa ni asilimia 39 kwa wenyeji na wageni asilimia 61. Huu ni mchezo wa mzunguko wa kwanza ambao ulikuwa ni kiporo baada ya mwanzo mchezo huu kuahirishwa kutokana na mvua kubwa kunyeshwa. Matokeo hayo yanaifanya Simba SC kufikisha jumla…

Read More