Yanga SC vs Tanzania Prisons kupigwa KMC Complex
YANGA SC vs Tanzania Prisons NBC Premier League ni leo Aprili 4, 2026 Uwanja wa KMC Complex saa12:30 jioni. Kocha Mkuu wa Yanga Pedro Goncalves amesema kuwa ataendelea kuwakosa baadhi ya wachezaji ambao hawapo fiti lakini wapo tayari kwa ajili ya kupambania pointi tatu. “Tumekuwa na mazoezi mazuri ya kujiandaa dhidi ya Tanzania Prisons, akili…